monaco
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,184
- 1,778
Wakuu Amani iwe kwenu,
Mzee wangu Jana tarehe 26 September,2015.Mzee wangu amenyimwa Dhamana na Afisa aliekuwa Zamu tarehe tajwa hapo Juu!ktk Kituo cha Polisi kikuu Shinyanga,
Ana nyumba amepangisha,mpangaji alisafiri akalipia kodi nusu,Nusu,muda wa Kodi ukaisha yeye alikuwa Amesafiri,nikapata Mpangaji Mwingine kila nikimpigia hapokei simu,lengo lilikuwa kumpa habari muda umekwisha na kuna Mtu anataka kuingia ktk chumba hicho,Cha ajabu siku alikuja nikiwa sipo akahamisha vitu vyake na kuacha meza 2 tuu,na funguo akachukua,nilivyorudi nikamtafuta simu hapokei,nikaamua kubadilisha Vitasa na kuweka mezani zake 2 kibarazani,Sasa akarudi amemuweka Ndani Mzee,kisa alitaka eti kuendelea na Upangaji,na Polisi wamekataa kata kumpa Dhamani!
Msaada kwa Mwanasheria alieko Shinyanga kwa Kunyimwa Dhamana!
Mzee wangu Jana tarehe 26 September,2015.Mzee wangu amenyimwa Dhamana na Afisa aliekuwa Zamu tarehe tajwa hapo Juu!ktk Kituo cha Polisi kikuu Shinyanga,
Ana nyumba amepangisha,mpangaji alisafiri akalipia kodi nusu,Nusu,muda wa Kodi ukaisha yeye alikuwa Amesafiri,nikapata Mpangaji Mwingine kila nikimpigia hapokei simu,lengo lilikuwa kumpa habari muda umekwisha na kuna Mtu anataka kuingia ktk chumba hicho,Cha ajabu siku alikuja nikiwa sipo akahamisha vitu vyake na kuacha meza 2 tuu,na funguo akachukua,nilivyorudi nikamtafuta simu hapokei,nikaamua kubadilisha Vitasa na kuweka mezani zake 2 kibarazani,Sasa akarudi amemuweka Ndani Mzee,kisa alitaka eti kuendelea na Upangaji,na Polisi wamekataa kata kumpa Dhamani!
Msaada kwa Mwanasheria alieko Shinyanga kwa Kunyimwa Dhamana!