Planeti
Member
- Jun 4, 2020
- 86
- 93
Bda ya kuzunguka viwandani bila mafanikio kutafuta ajira, hatimae Kesho nitaerekea Kariakoo kutafuta kazi ya kuweza kuniingizia chochote kitu..
Maisha ni kutafuta. Kesho yangu INAKUJA
Ndugu Jamaa na marafiki wa JF mnaopatikana maeneo ya K'KOO naombeni mnipokeeeeee.
Eehh Mungu unisaidie...
Maisha ni kutafuta. Kesho yangu INAKUJA
Ndugu Jamaa na marafiki wa JF mnaopatikana maeneo ya K'KOO naombeni mnipokeeeeee.
Eehh Mungu unisaidie...