Kituo kinachofuata Taiwan napata mashaka

Kituo kinachofuata Taiwan napata mashaka

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Kwa huu mwenendo wa marekani kwa sasa mwenye uhakika wa usalama,ukaribu na utafiki na marekani naona ni Israel pekee.

Hawa wengine wanatumika tu kiurafiki wa kinafiki na marekani kwa ajili ya maslahi yake binafsi.

Canada kazi ya marekani wameiona, Mexico wameiona, Denmark wameiona, umoja wa ulaya wameiona, Ukraine na sasa wanaiona namna marekani alivyo na sera zake anavyoweza kubadilika kama kinyonga.

Napata mashaka kuwa kituo kinachofuta ni Asia na Taiwan atakuwa katika nafasi mbaya zaidi.

Kwanza kabisa Trump kawaambia Taiwan lazima waamishe TSMC kwenda marekani hiki ni kiwanda kilichoshika uchumi wa Taiwan kwa asilimia kubwa hii ni hasara, pili kawataka lazima wa share ujuzi na makampuni ya kimarekani changamoto nyingine hii

Hii inaonesha hawana nafasi ya upekee kiasi hicho katika siasa za marekani bali marekani yupo pale na Taiwan kimaslahi yake binafsi.

Kuna hatihati ya Taiwan kuweza kutoswa kama anavyotoswa Ukraine.

20250220_194648.jpg

South Korea wakae chonjo
 
Jitahidi sana ukitoa kafara basi utoe watu baki ili ukizishika ngawira ule na ndugu zako.


Kama Taiwan haijajifunza kwa Ukraine basi watie maji wakingoja kunyonyolewa
 
Jitahidi sana ukitoa kafara basi utoe watu baki ili ukizishika ngawira ule na ndugu zako.


Kama Taiwan haijajifunza kwa Ukraine basi watie maji wakingoja kunyonyolewa
Changamoto sana
 
Kilia nchi sasa iruhusiwe tu kutengeneza au kununua nuclear za kujilinda.
 
Alichojifunza China kutoka kwa Russia ni kwamba, ukizuia nchi za Magharibi kutumia ndege zao, hawana ujanga mwingine
 
Mimi nikajua imetumia mafumbo, kwamba kituo kinachofuata cha M23 ni Tanzania (Taiwan). Kumbe unamaanisha Taiwani halisi na kujipendekeza kwake kwa Israel.
 
Back
Top Bottom