Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wewe wakati unakula 5 nani alikuwa mwekezaji kazi kumlaumu pamba jiji njoeni Tena wanatu tuwape mnachokitaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
24/25 tumewapiga au umesahaushabiki maandazi unaamini kila msimu ni 2023/ 2024
Hoja 0shabiki maandazi unaamini kila msimu ni 2023/ 2024
Walikuwa wengi wakafa 5😂😁Afadhari Pamba pamoja wapo pungufu wamejikaza sio kama wale wengine wa shirikisho
Man U vs Fc PortoWewe wakati unakula 5 nani alikuwa mwekezaji kazi kumlaumu pamba jiji njoeni Tena wanatu tuwape mnachokitaka
View attachment 3114492
Asante Inonga hiyo.Wewe wakati unakula 5 nani alikuwa mwekezaji kazi kumlaumu pamba jiji njoeni Tena wanatu tuwape mnachokitaka
View attachment 3114492
Lakini haihalalishi kuwa mtaendelea kuifunga simba labda kama ni shabiki maandazi ndio utaamini hivyo. Hata simba ashapitia kipindi cha kuwabamiza 5G24/25 tumewapiga au umesahau
Na kwanini kwenye ngao ulikubali kupumuliwa kimojaAsante Inonga hiyo.
Team mpyaNa kwanini kwenye ngao ulikubali kupumuliwa kimoja
Unateseka ukiwa wapi?Lakini haihalalishi kuwa mtaendelea kuifunga simba labda kama ni shabiki maandazi ndio utaamini hivyo. Hata simba ashapitia kipindi cha kuwabamiza 5G
Hii imani inaweza kuhamisha mlimaWawe wavumilivu kila timu itafungwa na Yanga,hivyo waache wivu wasubirie zamu yao
Uto anaizidi nini simba mpaka niteseke?Unateseka ukiwa wapi?
Makombe.Kipigo n.kUto anaizidi nini simba mpaka niteseke?