Kitwanga: Bei ya mafuta ilipaswa kushuka ila tunaibiwa na wanaCCM

Kitwanga: Bei ya mafuta ilipaswa kushuka ila tunaibiwa na wanaCCM

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Duh
Screenshot_20230224-174042.jpg
 
Huwezi kusema tu bei ilipaswa kuwa chini ya hapo bila maelezo ya kutosha kwanini unafikiri hivyo.Bila ushahidi wa kutetea hoja yako tamko hili ni populist garbage inayostahili kuwa kwenye dustbin.
 
Huwezi kusema tu bei ilipaswa kuwa chini ya hapo bila maelezo ya kutosha kwanini unafikiri hivyo.Bila ushahidi wa kutetea hoja yako tamko hili ni populist garbage inayostahili kuwa kwenye dustbin.
Wanasiasa asilimia kubwa ndiyo wafañya biashara au waña hisa.
 
Na huo ndio ukweli maana ata soko la dunia bei imeshuka muda kidogo tofauti na iliyopo sasa.

Serikali haitaki kushusha maana ina amini ongezeko la mafuta mfano diesel tunalilipia kupitia ongezeko la nauli so wao wanaendelea kuingiza tuu
 
Kitwanga yupo sahihi kwenye hili, hiyo bei ya mafuta haina uhalisia na inaongezea wananchi ugumu wa maisha
 
Back
Top Bottom