Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chini ya iliyopo sasa!Asante Kitwanga,
Bei ilipaswa iweje Kwa sasa?
Tunapigwa tu kwakweli walaji wa mwisho twabebeshwa zigo.Mungu awalaani.
Wanasiasa asilimia kubwa ndiyo wafañya biashara au waña hisa.Huwezi kusema tu bei ilipaswa kuwa chini ya hapo bila maelezo ya kutosha kwanini unafikiri hivyo.Bila ushahidi wa kutetea hoja yako tamko hili ni populist garbage inayostahili kuwa kwenye dustbin.
Na Upinzani Uliopo ndio Upo Busy Kupambana Na Jina La Marehemu
Hawana Muda Na Shida za Watanzania
Na Upinzani Uliopo ndio Upo Busy Kupambana Na Jina La Marehemu
Hawana Muda Na Shida za Watanzania
Umerudi tena ! nikajua ulizikwa nayeNa Upinzani Uliopo ndio Upo Busy Kupambana Na Jina La Marehemu
Hawana Muda Na Shida za Watanzania
Jikite kwa hoja mkuuUmerudi tena ! nikajua ulizikwa naye