Kiu ya mwanaumme kwa binti ni…


Tiger uko juu kwa ufuatiliaji.............................
 
Last edited by a moderator:
Mmh naona hizi topic ziko out of my comfort zone. Kila la heri though!
[MENTION]
Unstoppable[/MENTION] wewe unataka niangushe mada ambazo zimo ndani ya "your comfort zone" sasa hizo hazitakujenga bali hiz ambazo zinakupa changamoto ya kuiangalia dunia kwa sura tofauti kidogo..............
 
I totally agree with u that 'a woman must always bring some initiative to work' but this has got to do with how both of u presented urselves to each other from day one. Ni kweli mwanamke anaplay big role kwa hii ili iwe vile iwe......HAPPY MAN
p

Pakawa lazima nikiri tofauti zetu ni kidogo sana nina kazi ya kurekebisha Kaunga arudi kwenye mstari afaidi penzi la bwana wake...........LOL
 
Last edited by a moderator:
wanawake nao yaani akiitwa na mwanaume anajua unataka kumtongoza tuu kumbe wewe huna hata wazo. Asante kaka kwa kuwapasha.
 
wanawake nao yaani akiitwa na mwanaume anajua unataka kumtongoza tuu kumbe wewe huna hata wazo. Asante kaka kwa kuwapasha.

Arvin sloane.............humu ndani wanang'aka kweli kwa sababu siri zao nimeziweka mezani...............LOL
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kupata UCHI then UTII ndio mwanaume huangalia.. & is in series.... baada ya kula UCHI then ukala ukalaaa ukalaaaa na kulalaaaaa laaaaa..... sasa mwanaume anaanza kuwa serious kwamba this is nice girl.... So what next.... Ananiheshimu, UTII watch out... awe mwaminifu pia, i mean wife 2 be oriented woman....then ndoa inakuja yenyewe tu, easy bby.... A is A, B is B, ur language physically, heartly, emotionally, mentally is ONE, hapo ndio NDOA hiyoooo.... Then mnafunga HARUSI MKASHEREHEREE KULANAAAA IN -- OUT

 

Kaunga when will you learn? Stop comparing yourself wiht the man of your life.......we are different...............very different to speak once, though...................
 
Last edited by a moderator:

pilot...........uchi ni dalili ya utii na waka siyo vinginevyo...................tafakari utanielewa...................atakupa uchi kam ahan autii kwako wafikiri?
 
Last edited by a moderator:

Sashel Insecurities run both ways and most likely childhood upbringing is the staple culprit but knowing your man has always been beneficial and refusing to take care of his cravings -which are many and quite demanding, to speak of...........- for your submission which in many ways is mercy then you are in for a rough ride regardless of your beauty which looks to be your defining signature.................you Sashel
 
Last edited by a moderator:
mfuko wako ukituna utalambwa hadi unyayo kuonyeshwa utii🙂 ni hayo tuu

Kayla huo siyo utii bali ni nidhamu ya woga wa kuhofia kunyimwa kipande cha mkate .......kama minoti ikiisha yaamanisha na utii unalala solemba siyo?
 
Last edited by a moderator:
utii, unamaanisha nini omwana wa mawe

marrykate..........utii ni unyenyekevu kwa mumeo naye atakupenda tu hana jinsi..................
 
Last edited by a moderator:
Huwa nasikia siku ya kwanza kabisa mwanaume anapomtongoza binti(mwanamke), humwambia nakupenda. Sasa hapo kwenye utii na upendo kipi hutangulia?

Na je, mwanaume aweza kuridhika kutiiwa tu bila kupewa uchi?

Kwa mfano tumekutana bombu na rutashubyanyuma, ukaniomba namba ya simu nikakupa(utiii), ukaniomba tupate lunch pamoja nikakubali(utii), ukaniomba unisindikize nyumbani (utii), tulipofika nyumbani ukaniomba unikumbatie, nikasema NO! wewe ukasononeka, je hapo lengo lako ni UTII, au KUTIA(aka UCHI) ?
 
Last edited by a moderator:
dah hili nalo neno ndugu yangu, nashukuru maana kwa kweli nipo kwenye research ya kujua hivi wakaka wanataka nini maana unaweza mpa na akatoka nje ukimuuliza jamani kwani mimi nina kasoro gani kwa nini ufanye hivyo anasema huna sasa ndio nini?
 
dah hili nalo neno ndugu yangu, nashukuru maana kwa kweli nipo kwenye research ya kujua hivi wakaka wanataka nini maana unaweza mpa na akatoka nje ukimuuliza jamani kwani mimi nina kasoro gani kwa nini ufanye hivyo anasema huna sasa ndio nini?

Mamzalendo hii ni sahule ya someni kwa furaha tupu.............LOL
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…