Ndahani uko sahihi kabisa.......sifa za watu baki haziwezi kumfanya mwanaumme avimbe kichwa na avumilie kijike ambaye anamdharau.........
Hao wana matatizo tu wala hatuwezi kuwahesa kama watu wenye akili timamu na wala shida zao sio uchi maana wangeupata kwa wadada waliokua. Hapa tunaongelea waliokamilifu kiafya na kiakili.Mkuu unafurahisha kweli.
Kwahiyo mtu mzima wewe ukiamua "kubaka" tukupongeze kwakuwa unataka utii, ha haaa, na ile mijamaa mingine inayokula wototo wao kumbe utii ndo shida yao enh?
Mkuu unapofanya tafiti usisahau hata vichaa wanaume wapo, sasa sijui nao shida yao nini, think deep.
Hao wana matatizo tu wala hatuwezi kuwahesa kama watu wenye akili timamu na wala shida zao sio uchi maana wangeupata kwa wadada waliokua. Hapa tunaongelea waliokamilifu kiafya na kiakili.
Kama unaujua vizuri matumizi yake, kwa hakika sidhani kama mwenye akili timamu aweza kuutamani wa mtoto!.
wanaume hamridhiki bwana tumekuwa watii uchi tumetoa lakini wapi....lyangalo..............la ajabu wanaohusika na hii mada akina dada wengi wao wameingia mitini....hawataki kuwa watii lakini wanataka wapendwe sasa haya yatawezekana wapi?
wanaume hamridhiki bwana tumekuwa watii uchi tumetoa lakini wapi....
PetCash.....wenzetu hudhani bakora tukiwacharaza ndiyo kiu yetu kumbe kiu yetu ni kuona wanatutii na bakora inakuwa ni kithibitisho cha dalili ya utii wao kwetu wao hawatuelewi kabisa................
Ruta Mkuu, nilikusudia kukukuuliza kama ikiwa "hakutii huwezi kumtii" - lol - Kiswahili raha wewe!
kuna mtu kapost sio mimi mkuusmile leo nimekukamata........................waswahili husema njia ya mwizi ni fupi......................kule nyuma uliniapia ya kuwa hujawahi kuguswa kumbe uchi unatoa sasa ile bik'ra iko wapi tena kama uchi umekwishamegwa kiasi hicho na ukamegeka?
MAMMAMIA....... Utii uko Hivi,Kwa hivyo Mkuu Ruta ikiwa binti hakutii na wewe humtii?
Kwa hivyo Mkuu Ruta ikiwa binti hakutii na wewe humtii?
what i know ikiwa HUMTII,hatokutiiii,,,,,na hapa kutakua hakuna KUTIANA(HALI YA KUTENDEANA)
MAMMAMIA....... Utii uko Hivi,
Dada Habari yako?
-Nzuri!
Samahani naomba tuongee kidogo,
-Nina haraka naomba maongezi yako yawe mafupi kaka.
Kwa maongezi hayo kidogo kunaonekana utii tayari, siku zote Kidume kinaanza binti anatii au kutotii.