Kiuchumi hii imekaaje?

Kiuchumi hii imekaaje?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Huu utaratibu wa kupangisha frame or nyumba halafu unalipa six/year in advance mi naona kiuchumi haiko Sawa hata kidogo.

Kwa mfano napangisha Leo afu nikulipe hela Hadi ya mwaka ujao it is crazy ndiyo maana biashara nyingi hufa.

Inampa favour mwenye pango Ila wewe mpangaji unakuwa umekopesha hela yako bila riba.

Utaratibu standard ambao mimi nahisi kiuchumi Una mantiki ni kulipa baada ya mda Fulani and not before.

Sijui duniani kwingine huwa wanafanyaje lakini mi naona haiko sawa.

Wachumi maoni yenu. Wengi mtasema ooh wabongo ni wabushi kulipa. asa Hilo ni suala jingine.

Ila kulipa in advance watu wanatengeneza hela kilaini sana
 
We inaonekana haupo makini na kazi bado unafanya kazi za kubahatisha
 
Mkuu kuna circumstances nyingi zinazofanya hao land lord kuwataka wateja kulipa kabla ya kukitumia chumba-kitu ambacho ni right kabisa na Duniani kote utaratibu huu unatumika.

Ubaya ninao uona ni kutaka Kodi ya miezi 3-12 mbele,huu sio utaratibu mzuri kiuchumi huko ni kumnufaisha mwenye mali Mteja anatakiwa alipe kila baada ya mwezi na sio vinginevyo nimeangalia hata baadhi ya mataifa ndio utaratibu unautumika-kama MTU ataamua kuulipa for the next 3-12 months basi iwe ni mapenzi yake.
 
We inaonekana haupo makini na kazi bado unafanya kazi za kubahatisha
Utakuwa Una mikiki frame wewe siyo bure.

Nikupe hela six months in advance crazier, ndo maana maskini ni wengi kuliko matajiri

Kwa mtu Makini anayejua financial management ni ngumu Sana.

Labda iwe hela ndogo Sana.

Principle is payment after service
 
Utakuwa Una mikiki frame wewe siyo bure.

Nikupe hela six months in advance crazier...
Mkuu kama unafanya biashara na umejipanga na kufanya utafit wa kazi unayoenda fanya kodi si tatizo
Shida wengi wetu tunafanya biashara kwa kufuata mkumbo
 
Sasa mkuu sababu unaikwepa wakati unajua kabisa umesema kutolipa kodi kwa wakati ndiyo tatizo.

Wengi hawalipi kodi kwa wakati ndiyo maana.
 
Back
Top Bottom