Kiufundi siioni kabisa Simba SC ya Kuifunga Yanga SC iliyo bora ndani na nje ya Uwanja katika Derby ijayo

shida ya hizi timu,zinapocheza wao kwa wao,haitegemei timu ipi iko bora sana
 
Nilipowaambieni hapa kuwa Ahmed Ally ni 100% ni mwana Yanga SC mkanbishia na kunipuuza? Sasa taratibu mtanielewa.
 
Linapokuja suala la Simba na Yanga hakuna hatua mbaya kama timu kuvurunda. Mo mwenyewe ataachia timu ni suala la muda tu
 
Acha ujinga baby kwani Kuna mtu kakulazimisha ushabikie mpira maana Kila siku meseji hiyo hiyo
 
Ukiacha Kubinjuliwa backside Kwako utakuwa na Akili kwani 100% ya mnaofanyiwa hivyo na Mabasha hamnaga Akili Ok?

Nakusikitikia Unatukana hewa ( id ambayo ni hewa)

Kiufupi unapaka Rangi upepo.

Kama unahisi unanitukana mimi huwa sishtuki hata kidogo.

Level yako ni akina TUKANA UONE SIO MIMI.
 
Ugamba chi Ssebo
 
Nakusikitikia Unatukana hewa ( id ambayo ni hewa)

Kiufupi unapaka Rangi upepo.

Kama unahisi unanitukana mimi huwa sishtuki hata kidogo.

Level yako ni akina TUKANA UONE SIO MIMI.
Ukiacha Kubinjuliwa backside Kwako utakuwa na Akili kwani 100% ya mnaofanyiwa hivyo na Mabasha hamnaga Akili Ok?
 
Niliwaomba Mods wamuondoe kabisa kwenye hili jukwaa la michezo lakini hawajafanya hivyo,itabidi tuitishe petition huyu kichaa aondolewe humu,maana kama yeye hataki mambo ya mpira akae pembeni sio kutuletea vimaneno vyake vya kijinga.
 
Umenena jambo kubwa sana nimefanya survey ndogo kila kwenye mkusanyiko wa watu kuanzia watano hakuna la maana zaodi ya simba na yanga....
Na hili jambo ccm wanapendezwa nalo sana, nchi kmekuwa na mtizamo wa kimaamuma sana.

Focus na usimba na uyanga ingewekwa hata nusu tu kwenye kuwawajibisha viongozi tungekuwa mbali sana kimaendeleo na hata tungekuwa tumeshapata KATIBA MPYA.
 
Niliwaomba Mods wamuondoe kabisa kwenye hili jukwaa la michezo lakini hawajafanya hivyo,itabidi tuitishe petition huyu kichaa aondolewe humu,maana kama yeye hataki mambo ya mpira akae pembeni sio kutuletea vimaneno vyake vya kijinga.
Nakuunga mkono anzisha petition
 
Popoma nitakupiga bao tano kwa mkapa
Vile kwenye 6*6 nitakupiga hizo hizo bao 5

Jiandae ukitoka huko ambako uko kwa kifikirika maana upo kwenu bunju
 
We ni fala kuliko mafala wote duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…