Nachotaka kukumbusha ni kwamba ambagile ndiye mchambuzi bora pale wasafi na si trash na kile kipindi hakiwezi kufa Kama unavyotaka kutuaminisha hapa.Ambangile ni trash
Huyu dada anachambuaga nini kwenye kile kipindi cha michezo cha kumzidi ambagile ambaye unamuita trash.Yule mdada kidogo kwa mbaaaaaaaaali Anajitahidi
Kwahyo Oscar na yeye ni shushu?Wasafi media hawakujua Kitenge alikuwa anawapeleleza. KITENGE NI MWAJIRIWA WA USALAMA WA TAIFA. Wasafi imeshachunguzwa na tusubiri matokeo. KITENGE ANAENDA KUUNGANA NA OSCAR KUMALIZA KAZI YAO ALIYOIANZA YEYE KITENGE PALE EFM.
Unapata tabu na Diamond, ila uzuri humpunguzii kitu.Edo simwoni kama ni bora kiuchambuzi. Abaki kwenye makala.
Ambangile ni trash
Yule mdada kidogo kwa mbaaaaaaaaali Anajitahidi
Ahmed ni mtangazaji sio mchambuzi
Ricardo momo akiacha kazi wasafi fm hapati kazi radio nyingine..
Za chini chini Anaefata kuondoka ni Lil Omy,
Hata beki tatu wa ndani hawezi kukaa miezi 3 bila mshahara, japo kua anakula na kulalaView attachment 1882451
Hata mm imani yangu toka ktambo kitenge ni usalama toka nlivomuona kwenye issue ya nape paleWasafi media hawakujua Kitenge alikuwa anawapeleleza. KITENGE NI MWAJIRIWA WA USALAMA WA TAIFA. Wasafi imeshachunguzwa na tusubiri matokeo. KITENGE ANAENDA KUUNGANA NA OSCAR KUMALIZA KAZI YAO ALIYOIANZA YEYE KITENGE PALE EFM.
Lipumbavu hilo ambangile ndo anafanya niskilize kipindi ni bonge la mchambuziiiUlichopost ni upuuzi mtupu ulivyosema eti Ambangile ni trash nimeacha kusoma kabisa uzi wako vip kwanini mtoa mada ufikirii kwanza kabla ujapost
Ndugu unaujua mpira?Edo simwoni kama ni bora kiuchambuzi. Abaki kwenye makala.
Ambangile ni trash
Yule mdada kidogo kwa mbaaaaaaaaali Anajitahidi
Ahmed ni mtangazaji sio mchambuzi
Ricardo momo akiacha kazi wasafi fm hapati kazi radio nyingine..
Za chini chini Anaefata kuondoka ni Lil Omy,
Hata beki tatu wa ndani hawezi kukaa miezi 3 bila mshahara, japo kua anakula na kulala.
View attachment 1882451
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kwa kigezo kipi sasa jaman[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nasikia huko EFM kumaliza miezi Sita haujalipwa mshahara ni kawaida tu.