Diamond ni ccm, kwa hiyo wao TISS manowasema wangekuwa wanawachunguza wasafi kuwa itahatarisha usalama wa taifa?Nasikia Diva nae ndo kazi anayoifanya pale, ila sio mda mrefu nae ataondoka akishakamilisha uchunguzi wake[emoji1664][emoji1664]
Kwa hiyo wachezaji wa Simba SC hawalipwi mishahara ila wanajitolea tu?Kama Mohamed wa simba
Your so stupid!!!Kwa hiyo wachezaji wa Simba SC hawalipwi mishahara ila wanajitolea tu?
Stupid!!
Huyu ni vuvuzela tuEdo simwoni kama ni bora kiuchambuzi. Abaki kwenye makala.
Ambangile ni trash
Yule mdada kidogo kwa mbaaaaaaaaali Anajitahidi
Ahmed ni mtangazaji sio mchambuzi
Ricardo momo akiacha kazi wasafi fm hapati kazi radio nyingine..
Za chini chini Anaefata kuondoka ni Lil Omy,
Hata beki tatu wa ndani hawezi kukaa miezi 3 bila mshahara, japo kua anakula na kulala.
View attachment 1882451
Ila mkuu kitaalamu inatwa career sio carrier...Unapata tabu na Diamond, ila uzuri humpunguzii kitu.
Kitenge ni Professional, ukimpandia dau unamchua ,kesho anaweza rudi tena Wasafi, sio wewe magroup mia ya WhatsApp huna mda hata wa kuijenga carrier yako.
Asante kwa kunirekebisha........Ila mkuu kitaalamu inatwa career sio carrier...
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, ebu punguza makasiriko halafu mpe heshima yake The genius George AmbangileAmbagile anazingua mtu anaongea mpaka anakera hawezi kujikadiria hivi hawaoni kina amri kiemba na gef lea wanavyochambua pamoja na waachambuzi wa u live,
Ambagile anaweza akaongea mada tatu kwa wakati mmoja yaani kiufupi haeleweki sasa hivi anamuiga alikamwe na mambo 10 ila yeye uchambuzi wake hauna mpangilio.
Ukishavuta bangi zako unaona double double, Punguza Matumizi ya bangi na makasirikoHicho kipindi kina wachambuz
Karibia 10 Kwa wakati mmoja
Sasa nauliza hao n wachambuz
Au n kituo cha daldadal kupgia
Debe??
Punguza makasiriko, ulitaka wakusifie weweYani wasafi media ata mchambuzi wa mpira lazma amusifiye domo eti kagere kafanana diamond platnumz