Kiuhalisia Bunge liko chini ya Rais wa JMT, Katibu wa Bunge ni mteule wa Rais na mikutano ya Bunge inaahirishwa na Waziri Mkuu

Kiuhalisia Bunge liko chini ya Rais wa JMT, Katibu wa Bunge ni mteule wa Rais na mikutano ya Bunge inaahirishwa na Waziri Mkuu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Haya mambo ya mihimili ni lugha za kisiasa tu lakini kiuhalisia Rais wa JMT yuko juu ya Bunge na Mahakama.

Ndio maana Mtendaji mkuu wa Bunge ni mteule wa Rais na anafanya kazi kwa karibu " zaidi " na Waziri Mkuu na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Rais ana uwezo wa kulivunja Bunge.

Watendaji wakuu wa Mahakama JM, JK, Majaji ni wateule wa Rais

Rais hawezi kushtakiwa Mahakamani.

Ramadhan Kareem!

Pia soma
 
Kwani kuna mtu amebisha Rais wa Tz hawezi kuvunja bunge?
 
Tangu jiwe aondoke na Mzee Mgaya pamoja Mchungaji Erasto na Matsai akili zimekurudia ghafla!
 
Haya mambo ya mihimili ni lugha za kisiasa tu lakini kiuhalisia Rais wa JMT yuko juu ya Bunge na Mahakama.

Ndio maana Mtendaji mkuu wa Bunge ni mteule wa Rais na anafanya kazi kwa karibu " zaidi " na Waziri Mkuu na Mwanasheria Mkuu wa
Serikali.

Rais ana uwezo wa kulivunja Bunge.

Watendaji wakuu wa Mahakama JM, JK, Majaji ni wateule wa Rais

Rais hawezi kushtakiwa Mahakamani.

Ramadhan Kareem!

Pia soma

Usisahau mishahara na posho za Wabunge zinalipwa na Serikali. Bunge halina TRA yake. Hivyo, who pays the Piper, choose a song.
 
Mishahara ya Serikali, Bunge na Mahakama inalipwa na walipa kodi. Serikali haina pesa zake nje ya kodi ya wananchi.
Usisahau mishahara na posho za Wabunge zinalipwa na Serikali. Bunge halina TRA yake. Hivyo, who pays the Piper, choose a song.
 
Haya mambo ya mihimili ni lugha za kisiasa tu lakini kiuhalisia Rais wa JMT yuko juu ya Bunge na Mahakama.

Ndio maana Mtendaji mkuu wa Bunge ni mteule wa Rais na anafanya kazi kwa karibu " zaidi " na Waziri Mkuu na Mwanasheria Mkuu wa
Serikali.

Rais ana uwezo wa kulivunja Bunge.

Watendaji wakuu wa Mahakama JM, JK, Majaji ni wateule wa Rais

Rais hawezi kushtakiwa Mahakamani.

Ramadhan Kareem!

Pia soma
ni kweli kabisa hata hiyo miswada wanaayopitisha haziwi sheria mpaka raisi asaini
 
Back
Top Bottom