Kiuhalisia dhana ya muda kuwa unaenda mbele ni potofu

Kiuhalisia dhana ya muda kuwa unaenda mbele ni potofu

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Ieleweke hivi muda ni uwepo/the existance of space.. Muda hupimwa kwenye space i mean the way space exist it's the way we can get time/time existance. Space kama ilivyo haionyeshi kwenda mbele wala kurudi nyuma but imestill hivyo hivyo, what is happen it's just actions..

Yeah actions ndio hutokea kwenye space na hapa ndipo tunapojichanganya na kuona kama muda huenda mbele.. Naomba nieleweke hivi space is the place where action can happen and something can exist.

Vitendo kama kukua mfano mdogo mpk mkubwa,majira(usiku na mchana) hivi ni baadhi ya vitendo ambavyo tumejidanganya kuwa muda unaenda mbele lkn sivyo, muda uko vilevile palepale ila kinachotokea ni actions kwenye space!

Ukitaka kupata uhalisia wa hichi nikisemacho think about universe na vitu vinavyopatikana, chukua uwepo wako fikiri kuhusu hili.. Sorry kwa kuchanganya lugha nisameeni bure..

Unaruhusiwa kukosoa.

KARIBUNI!
 
Muda ni kipimo cha utofauti wa tukio moja hadi jingine ambacho kiuhalisia ni dhana tu ya utofautishaji wa hali na matukio lakini si uhalisia unaojitegemea(not independent variable) Bali ni dhana tegemezi ( dependent variable) kwa hiyo mda ni matokeo ya matendo/vitendo/ hali, na kwa maana hiyo mda hauwezi kuwepo bila vitendo halisi ( physical actions) ambavyo huchukuliwa ndio nguzo za utofauti kwenye nafasi ( the points of differences in the space)

Chukulia kama mifumo yote ulimwenguni itasimama, yaani mfano mabadiliko kama usiku na mchana, majira ( baridi, joto, kipupwe n.k) je, nini kingine kitakuwa kigezo cha kupima mda ( utofauti wa matukio) ilihali matukio yote yamesimama?

Time is a mythical attribute, its neither a concrete nor physical quantity.
 
umeamua kufka udhaifu wa hoja zako kwa kuchanganya lugha ili tu watu wawe confused
 
Muda ni kipimo cha utofauti wa tukio moja hadi jingine ambacho kiuhalisia ni dhana tu ya utofautishaji wa hali na matukio lakini si uhalisia unaojitegemea(not independent variable) Bali ni dhana tegemezi ( dependent variable) kwa hiyo mda ni matokeo ya matendo/vitendo/ hali, na kwa maana hiyo mda hauwezi kuwepo bila vitendo halisi ( physical actions) ambavyo huchukuliwa ndio nguzo za utofauti kwenye nafasi ( the points of differences in the space)

Chukulia kama mifumo yote ulimwenguni itasimama, yaani mfano mabadiliko kama usiku na mchana, majira ( baridi, joto, kipupwe n.k) je, nini kingine kitakuwa kigezo cha kupima mda ( utofauti wa matukio) ilihali matukio yote yamesimama?

Time is a mythical attribute, its neither a concrete nor physical quantity.
Nilikuwa sijui. Kumbe u mwanafalsafa/mwanafizikia-dhahnia mzuri hivi?! Maelezo mujarabu kabisa.

Wenzio wanasema kwamba ukijichanganya na kutumbukia kwenye black hole, huko ndiko hakuna cha space wala time. Kila kitu kinakoma! Nilijaribu kufuatilia mjadala haoo wakaanza kuweka makalikyulesheni makali basi nikashindwa kwenda nao sambamba. Una lolote la kuongezea kuhusu hili?
 
umeamua kufka udhaifu wa hoja zako kwa kuchanganya lugha ili tu watu wawe confused
kama hujaelewa nibora ukasewa wapi hujaelewa... mchanganyiko wa lugha nilioutumia hauja haribu kile nilichokusudia,tena nimetumia maneno mepesi kikubwa ni ufikiriaji ndio utaelewa ninachomaanisha
 
Nilikuwa sijui. Kumbe u mwanafalsafa/mwanafizikia-dhahnia mzuri hivi?! Maelezo mujarabu kabisa.

Wenzio wanasema kwamba ukijichanganya na kutumbukia kwenye black hole, huko ndiko hakuna cha space wala time. Kila kitu kinakoma! Nilijaribu kufuatilia mjadala haoo wakaanza kuweka makalikyulesheni makali basi nikashindwa kwenda nao sambamba. Una lolote la kuongezea kuhusu hili?
Yeah ni Maelezo toshelevu angalau yanaweza kutoa mwanga wa ufaham juu ya dhana ya mda na uhusiano wake na matendo au matukio yanayounda mifumo ya ulimwengu hasa dunia yetu hii,.
 
Ieleweke hivi muda ni uwepo/the existance of space.. Muda hupimwa kwenye space i mean the way space exist it's the way we can get time/time existance.
Space kama ilivyo haionyeshi kwenda mbele wala kurudi nyuma but imestill hivyohivyo,what is happen it's just actions..
Yeah actions ndio hutokea kwenye space na hapa ndipo tunapojichanganya na kuona kama muda huenda mbele.. Naomba nieleweke hivi space is the place where action can happen and something can exist.
vitendo kama kukua mfano mdogo mpk mkubwa,majira(usiku na mchana) hivi ni baadhi ya vitendo ambavyo tumejidanganya kuwa muda unaenda mbele lkn sivyo,muda uko vilevile palepale ila kinachotokea ni actions kwenye space!.

ukitaka kupata uhalisia wa hichi nikisemacho think about universe na vitu vinavyopatikana, chukua uwepo wako fikiri kuhusu hili..
sorry kwa kuchanganya lugha nisameeni bure..

unaruhusiwa kukosoa

KARIBUNI!

Mkuu upo sahihi kabisa mda hauendi mbele wala nyuma ni vitendo ndio vinafanya tufikirie mda mfano;
Siku ni zilezile
Miezi ni ileile
Mwaka ni uleule
Dunia hujizungusha ktk mhimili mwanzo ni mwisho na mwisho ni mwanzo.

Vile vile Jua ktk mfumo wake (milk away Galax ) ni kitendo kilekile mwanzo ni mwisho na mwisho ni mwanzo ktk mzunguko
 
Najitahidi kuelewa lakini inashindikana
hebu fikiria mfano wa chumba ambacho kipo empty au universe is empty yani kuna space tu je hapo hiyo space inaonyesha kwenda mbele ama kurudi nyuma..? bila shaka jibu ni hapana..
kwa dhana hii ndio maana nasema muda ni uwepo au hali ya ku-exist.
space ni mahala popote ambapo kitendo kinaweza kutokea au kitu kuwepo,kwa tafsiri nyengine naweza sema kwenye space ndipo mahala panapoweza kufanyika tukio na kitu kuwepo sasa kwenye space ndipo tunapopima kitu kinachoitwa muda lkn kitu hichi ni man made sio natural... na muda unapimwa due to the way space exist/still..

kama nilivyosema space ni mahala ambapo kitendo kinaweza kufanyi sasa kinachotuchanganya na kudhani kuwa muda unaenda mbele ni hivi vitendo mfano mchana na usiku,ukuaji,na maswala yetu haya ya kalenda(man made) n.k.. kikubwa hapa ni actions happen on space na space iko vilevile so kitendo cha kuona time inaenda mbele ni upotofu..

hapo je..?
 
Bado hujaelewa maana ya muda. Kwanza action zipo za voluntary na involuntary action. Labda ungefanya practical ya kutega SAA ili Kila baada ya muda Fulani taa ziwake ndo ungeona umuhimu wa muda..vile vile ukipangiwa muda Fulani ufike sehemu Fulani alafu ukaenda tofauti ndo utaelewa muda nn? Jaribu kushughulisha ubongo kwa kutatua changamoto tulizonazo dunia kuliko kuturudisha nyuma.kugundua SAA haikuwa uvumbuzi wa kitoto.ebu jitathimini upya na kuleta Uzi wa maana japo si mbaya hata kama Uzi wa maana huna tupia wowote maana kuuliza si ujinga.
 
Bado hujaelewa maana ya muda. Kwanza action zipo za voluntary na involuntary action. Labda ungefanya practical ya kutega SAA ili Kila baada ya muda Fulani taa ziwake ndo ungeona umuhimu wa muda..vile vile ukipangiwa muda Fulani ufike sehemu Fulani alafu ukaenda tofauti ndo utaelewa muda nn? Jaribu kushughulisha ubongo kwa kutatua changamoto tulizonazo dunia kuliko kuturudisha nyuma.kugundua SAA haikuwa uvumbuzi wa kitoto.ebu jitathimini upya na kuleta Uzi wa maana japo si mbaya hata kama Uzi wa maana huna tupia wowote maana kuuliza si ujinga.
Muda ni nini..?
 
Back
Top Bottom