umeanza kuelewa sasa hapo uliposema hamna muda basi hakuna uhai ungesema hamna space basi hakuna action(uhai ikiwa ni moja ya action pia) au kitu ku exist..hivyo utaeleweka vizuri mkuuMuda hautegemei tukio .muda upo tuu kama Hamna muda basi Hakuna uhai..sio lazima tukio liwepo ndo muda uanze Ku hesabika..Hii mada inahitaji kutulia aisee
twende kwa njia ya maswali nahakika utanipata..Una kitu labda cha kuelezea ila jinsi ulivyoelezea yan sijakupata kabisa...ebu tulia alafu uelezee tena labda naweza elewa..alafu pia tumia lugha moja..hyo changanya changanya ya lugha ndio umenipoteza kabisa
kwanza nikupongeze kwa maelezo murua ila naomba ufafanuzi juu ya kwamba Mungu alifanya kazi siku sita ila siku ya saba akapumzika vipi hili suala halihusiani na muda kwenda mbelehebu fikiria mfano wa chumba ambacho kipo empty au universe is empty yani kuna space tu je hapo hiyo space inaonyesha kwenda mbele ama kurudi nyuma..? bila shaka jibu ni hapana..
kwa dhana hii ndio maana nasema muda ni uwepo au hali ya ku-exist.
space ni mahala popote ambapo kitendo kinaweza kutokea au kitu kuwepo,kwa tafsiri nyengine naweza sema kwenye space ndipo mahala panapoweza kufanyika tukio na kitu kuwepo sasa kwenye space ndipo tunapopima kitu kinachoitwa muda lkn kitu hichi ni man made sio natural... na muda unapimwa due to the way space exist/still..
kama nilivyosema space ni mahala ambapo kitendo kinaweza kufanyi sasa kinachotuchanganya na kudhani kuwa muda unaenda mbele ni hivi vitendo mfano mchana na usiku,ukuaji,na maswala yetu haya ya kalenda(man made) n.k.. kikubwa hapa ni actions happen on space na space iko vilevile so kitendo cha kuona time inaenda mbele ni upotofu..
hapo je..?
binafsi sifungamani ni maswala ya kimungu lkn ntakujibu kwa mfano huu..kwanza nikupongeze kwa maelezo murua ila naomba ufafanuzi juu ya kwamba Mungu alifanya kazi siku sita ila siku ya saba akapumzika vipi hili suala halihusiani na muda kwenda mbele
Hebu nifafanulie vizuri katika hili la appointment?ni kitendo kama vitendo vyengine vinavyo happen kwenye space
najua kinachokuchanganya ni ule ufahamu(recorded) kwamba past up to future! na ile action ya kubadilika kwa majira(asubuhi,mchana,jioni ama mchana na usiku) sasa chukulia upo kwenye space ambapo kuna action ya mwanga tu au giza tu haichenji halafu hapo huyo ulo na appointment nae anaweza kukwambia mkutane muda gani...?Hebu nifafanulie vizuri katika hili la appointment?
Ndiyo,anaweza.najua kinachokuchanganya ni ule ufahamu(recorded) kwamba past up to future! na ile action ya kubadilika kwa majira(asubuhi,mchana,jioni ama mchana na usiku) sasa chukulia upo kwenye space ambapo kuna action ya mwanga tu au giza tu haichenji halafu hapo huyo ulo na appointment nae anaweza kukwambia mkutane muda gani...?
mbona nilichoeleza kipo wazi lbd wewe ndo hujaelewainaelekea kuna kitu unaelewa ila kukieleza umeshindwa iwe kwa kiswahili au kingereza.
Time travels ndiyo maana kuna wana sayansi wanahisi wanaweza kutengeneza time traveling machine.
Ni kweli mkuu, na inahitaji fikra kubwa kuelewa, nawashangaaga sana wanaosema 'kesho ikifika' tatizo ni pale unapoambiwa ajira hutoka tarehe fulani [emoji3]Ieleweke hivi muda ni uwepo/the existance of space.. Muda hupimwa kwenye space i mean the way space exist it's the way we can get time/time existance.
Space kama ilivyo haionyeshi kwenda mbele wala kurudi nyuma but imestill hivyohivyo,what is happen it's just actions..
Yeah actions ndio hutokea kwenye space na hapa ndipo tunapojichanganya na kuona kama muda huenda mbele.. Naomba nieleweke hivi space is the place where action can happen and something can exist.
vitendo kama kukua mfano mdogo mpk mkubwa,majira(usiku na mchana) hivi ni baadhi ya vitendo ambavyo tumejidanganya kuwa muda unaenda mbele lkn sivyo,muda uko vilevile palepale ila kinachotokea ni actions kwenye space!.
ukitaka kupata uhalisia wa hichi nikisemacho think about universe na vitu vinavyopatikana, chukua uwepo wako fikiri kuhusu hili..
sorry kwa kuchanganya lugha nisameeni bure..
unaruhusiwa kukosoa
KARIBUNI!
Hivyo vitendo ndo muda wenyewe maana bila kua na hayo matendo na mabadiliko yake kusingekua na kitu tunaita muda/wakat/majira/zama n.k.Kwaiyo usichanganywe na saa au kalenda ukafik huo ndo muda.Hapana muda ni matendo yakimfumo yanayotukia nakubadilika kulingana nayenyewe.Kwaiyo binadam alitengeneza tu wakat na kalenda ili kutautisha tukio la leo na jana.hebu fikiria mfano wa chumba ambacho kipo empty au universe is empty yani kuna space tu je hapo hiyo space inaonyesha kwenda mbele ama kurudi nyuma..? bila shaka jibu ni hapana..
kwa dhana hii ndio maana nasema muda ni uwepo au hali ya ku-exist.
space ni mahala popote ambapo kitendo kinaweza kutokea au kitu kuwepo,kwa tafsiri nyengine naweza sema kwenye space ndipo mahala panapoweza kufanyika tukio na kitu kuwepo sasa kwenye space ndipo tunapopima kitu kinachoitwa muda lkn kitu hichi ni man made sio natural... na muda unapimwa due to the way space exist/still..
kama nilivyosema space ni mahala ambapo kitendo kinaweza kufanyi sasa kinachotuchanganya na kudhani kuwa muda unaenda mbele ni hivi vitendo mfano mchana na usiku,ukuaji,na maswala yetu haya ya kalenda(man made) n.k.. kikubwa hapa ni actions happen on space na space iko vilevile so kitendo cha kuona time inaenda mbele ni upotofu..
hapo je..?
Vitendo sio muda mkuu,vitendo vinategemea space ili viweze kutokea/kufanyika dhana ya muda still ipo kwenye space ndio maana nikasema muda ni uwepo kwa maana ya kuwepo uwezekano wavitendo kutokea na vitu kuwepo na hivi vyote vinatokea kwenye space hata ukitoa vitendo na uwepo wa vitu kwenye space time will exist.Hivyo vitendo ndo muda wenyewe maana bila kua na hayo matendo na mabadiliko yake kusingekua na kitu tunaita muda/wakat/majira/zama n.k.Kwaiyo usichanganywe na saa au kalenda ukafik huo ndo muda.Hapana muda ni matendo yakimfumo yanayotukia nakubadilika kulingana nayenyewe.Kwaiyo binadam alitengeneza tu wakat na kalenda ili kutautisha tukio la leo na jana.