Kiuhalisia UWABATA haipo longolongo tu na fix za watoto wa mjini

Kiuhalisia UWABATA haipo longolongo tu na fix za watoto wa mjini

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hamna Mwanaume rijali asiyetoa hela yake kwa msichana tunaliwa wote, embu UWABATA wa kweli ajitokeze aseme Kama hajawahi kuhonga.

Dhambi zote Ni biashara na biashara zipo kila point katika Dunia tumezaana tumefikia billion Saba ni kwa sababu ya rushwa ya mapenzi michezo hiyo mbona ipo Sana.

Hakuna mkate mgumu ndani ya chai hakuna Mwanaume mgumu haswa mbele ya mwanamke japo wapo baadhi kweli wanatunzwa na wanawake yaani full mahitaji na wenyewe wanaenda kugawa baadhi kwa wanawake wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mpe hela huyo mwanamke.

Sisi wenzio Kuna inshu tunazisikilizia.
 
Mkuu kesho saa nne asubuhi ufike makao makuu ya UWABATA.

Kwa tuhuma za kukishambulia chama cha UWABATA.


Msemaji wa UWABATA.

Kichwa Kichafu.
 
Hili chama nalikubali sana na nawafatilia sana

Mimi ni bahili ila Mara moja moja huwa najitungua ila nkipga mahesabu nkaona kwa mwez nataka kuvuka malengo ya pesa ya kutoa kwa wanawake niliyojiwekea najizuia kutoa.

Ukifatilia mambo ya UWABATA utafanikiwa mapema mno.
Maana wanaume wengi pesa zetu zinapotelea kwenye KAMARI,WANAWAKE NA POMBE.

UWABATA IDUMU DAIMA

#Kuna pesa naisikilizia
 
Back
Top Bottom