Kiukweli asilimia ya mshahara kupanda haikutakiwa kutangazwa ili kudhibiti mfumuko wa bei

Kiukweli asilimia ya mshahara kupanda haikutakiwa kutangazwa ili kudhibiti mfumuko wa bei

Dodoma leo

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2021
Posts
1,336
Reaction score
1,658
Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.

Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.

Najua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.

Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.

Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.
 
Tena ninavyochukia hii tabia ya kupandisha mishahara badala ya kuongeza thamani ya pesa kupitia uzalishaji ili mshahara ule ule uwe na nguvu zaidi ya mamunuzi na utoshe; sasa sisi wa sekta binafsi nani atatupandishia mishahara zaidi ya kujipandishia masaa ya kazi? Hspa dawa ni kuwapandishia bei hao wafanyakazi, si wsnahela bhanaaa.., ni kuwapiga tu
 
Tena ninavyochukia hii tabia ya kupandisha mishahara badala ya kuongeza thamani ya pesa kupitia uzalishaji ili mshahara ule ule uwe na nguvu zaidi ya mamunuzi na utoshe; sasa sisi wa sekta binafsi nani atatupandishia mishahara zaidi ya kujipandishia masaa ya kazi? Hspa dawa ni kuwapandishia bei hao wafanyakazi, si wsnahela bhanaaa.., ni kuwapiga tu
Wataumia wananchi Kwa sababu wafanyakazi ni sehem ndogo sana ya umma wa watanzania.
 
How? Mbona bei ya vitu vimepanda maradufu bila hata kutangazwa nyongeza? Price ipo controlled na demand and supply and not otherwise!

Halafu % ya watumishi wa serikali ni wachache kati ya watz abive 18 yrs ambao ni zaidi ya 40m.
 
Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.

Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.

Najua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.

Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.

Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.
Huu ujinga nani aliwamezesha?

Hizo ni ngonjera kama zile watu wa Mbeya walikuwa wanaambiwa kwamba kujenga ghorofa mwisho ni 3 Kwa sababu eti Kuna maji mengi na matetemeko 😂😂

Saizi ziko hadi 11 floors
 
Wanapenda kusifiwa sana kumbe wanaharibu.

Hali ya kiuchumi ni mbaya bado watu wanatangaza ongezeko la asilimia kubwa namna hii??

Mnataka kuangamiza watu nyie.
 
Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.

Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.

Najua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.

Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.

Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.
Mfumuko wa Bei umepanda kabla ya Mishahara kupanda

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Wanapenda kusifiwa sana kumbe wanaharibu.

Hali ya kiuchumi ni mbaya bado watu wanatangaza ongezeko la asilimia kubwa namna hii??

Mnataka kuangamiza watu nyie.
Yaani ni kama wameongeza workforce by 25% , hii hatari sana; watumishi wa umma ni mzigo kwa wananchi, na bado wanatuonhezea mzigo wa kuwalea
 
Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.

Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.

Najua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.

Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.

Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.
Mataga hawaamini
 
Ulichoandika hapa ni ujinga.

Chukua hili somo jepesi;

Bei za vitu zinabadilika kutokana na kubadilika kwa mahitaji au uzalishaji wa bidhaa na huduma.

Kusema mishahara imepanda hakuwezi kupandisha bei za vitu, wanasiasa kutoa matamko ya kushusha bei hakuwezi kushusha bei, huwa na hadaa tu.
Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.

Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.

Najua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.

Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.

Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.
 
Tusipotangaza tutapataje political mileages?
wanasiasa wengi hawana nia ya kweli ya kubadilisha maisha ya wanainchi wao, wapo bze kutafta kuungwa mkono ile uchaguzi unapokuja waweze kupita.
Uanasiasa ni kazi km kazi nyingine...tukilijua hilo tutakua mbele angalau kwa nafasi moja.
 
Jiwe alifanya uharibifu mkubwa kwenye sekta binafsi ambayo ndio inapaswa kuajiri watu wengi.
Yaani ni kama wameongeza workforce by 25% , hii hatari sana; watumishi wa umma ni mzigo kwa wananchi, na bado wanatuonhezea mzigo wa kuwalea
 
Tena ninavyochukia hii tabia ya kupandisha mishahara badala ya kuongeza thamani ya pesa kupitia uzalishaji ili mshahara ule ule uwe na nguvu zaidi ya mamunuzi na utoshe; sasa sisi wa sekta binafsi nani atatupandishia mishahara zaidi ya kujipandishia masaa ya kazi? Hspa dawa ni kuwapandishia bei hao wafanyakazi, si wsnahela bhanaaa.., ni kuwapiga tu
[emoji23][emoji23][emoji23] Sisi wa pande zote shangwe tu.
 
Acha watu wapate pesa miaka zaidi ya mitano mlikuwa mnatesa ninyi tu. Kaeni kwa kutulia. Bei zimepanda hata kabla ya mishahara kutangazwa.
 
Back
Top Bottom