Hali ya uchumi ni mbaya kwakoWanapenda kusifiwa sana kumbe wanaharibu.
Hali ya kiuchumi ni mbaya bado watu wanatangaza ongezeko la asilimia kubwa namna hii??
Mnataka kuangamiza watu nyie.
tutoleeni upumbavu wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ya uchumi ni mbaya kwakoWanapenda kusifiwa sana kumbe wanaharibu.
Hali ya kiuchumi ni mbaya bado watu wanatangaza ongezeko la asilimia kubwa namna hii??
Mnataka kuangamiza watu nyie.
Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.
Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.
Najua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.
Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.
Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.
Jiulize maswali yafuatayo kwanzaNchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.
Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.
Najua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.
Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.
Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.
Hakuna mfanyabiashara atakayepandisha bei kisa kasikia wafanyakazi wameongezwa mshahara. Bei zinapanda automatically kulingana uhitaji na upatikanaji.Sure HAPA WANYONGE NDO TUTAUMIA
Wewe mpumbavu kweli unaona sifa kujiita mnyongeSure HAPA WANYONGE NDO TUTAUMIA
kabla hata ya kutangazwa kwa ongezeko jipya la mshahara jeh! hakukua na mfumko wa bei?Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.
Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.
Najua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.
Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.
Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.
hawazidi 800k kwa ujumla wao.Wataumia wananchi Kwa sababu wafanyakazi ni sehem ndogo sana ya umma wa watanzania.
Unajua serikali inatumia sh ngap kulipa mishahara watumishi.. ? Kwa mujibu wa bajeti Mpya mishahara inachukua tirion 9.8 HIV, na bajeti ya serikal ni tirion 40. Ni asilimia ngap Ambyo wafanyakaz wanapta na effect Yao kwenye uchumi.???Hakuna mfanyabiashara atakayepandisha bei kisa kasikia wafanyakazi wameongezwa mshahara. Bei zinapanda automatically kulingana uhitaji na upatikanaji.
Wafanyakazi serikalini ni wachache sana ukilinganisha na population kwa ujumla (~60milioni)
Ni bidhaa gani ambazo hutaki zipande bei? Mchele, unga, maharage na mihogo? Hujui kwamba wakulima wananunua pembejeo kwa bei ghali? Hujui kwamba huu mwaka mvua hazikua nzuri kwa hiyo tumewekeza vingi lakini mavuno ni haba?!Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.
Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.
KNajua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.
Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.
Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.