Kiukweli asilimia ya mshahara kupanda haikutakiwa kutangazwa ili kudhibiti mfumuko wa bei

Kiukweli asilimia ya mshahara kupanda haikutakiwa kutangazwa ili kudhibiti mfumuko wa bei

Wanapenda kusifiwa sana kumbe wanaharibu.

Hali ya kiuchumi ni mbaya bado watu wanatangaza ongezeko la asilimia kubwa namna hii??

Mnataka kuangamiza watu nyie.
Hali ya uchumi ni mbaya kwako

tutoleeni upumbavu wenu
 
Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.

Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.

Najua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.

Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.

Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.

Toa mfano wa mwaka ambao JK hakutangaza nyongeza ya mshahara? Acha kupotosha.

Bei ya vitu inapanda kutokana na supply and demand full stop.. Hayo yako hayapo kwenye kanuni za uchumi.
 
Afu si nyingi ata inayongezeka ni 23% ya kima cha chini. Ambayo ata dar kigoma haitoshi nauli
 
Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.

Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.

Najua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.

Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.

Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.
Jiulize maswali yafuatayo kwanza
Ukiongeza mshahara bila kutangaza wafanyabiashara hawatajua?
Watumishi wa serikali jumla wako wangapi?
Tangu mwaka jana bidhaa zinazidi kupanda bei, kulikuwa na ongezeko la mishahara?
 
Ila hii nchi 👐 hakuna jema kabisa
 
Sure HAPA WANYONGE NDO TUTAUMIA
Hakuna mfanyabiashara atakayepandisha bei kisa kasikia wafanyakazi wameongezwa mshahara. Bei zinapanda automatically kulingana uhitaji na upatikanaji.

Wafanyakazi serikalini ni wachache sana ukilinganisha na population kwa ujumla (~60milioni)
 
Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.

Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.

Najua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.

Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.

Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.
kabla hata ya kutangazwa kwa ongezeko jipya la mshahara jeh! hakukua na mfumko wa bei?

gharama za maisha zimepanda kabla hata ya kuingezeka kwa mshahara sasa sijui ndugu umeandika makitu gani?

halafu kimsingi kila mtu na falsafa zake mzee wa msogo alikuwa hatangazi lakini kwani watu walikuwa hawajui kama mshahara umepanda?
 
Hakuna mfanyabiashara atakayepandisha bei kisa kasikia wafanyakazi wameongezwa mshahara. Bei zinapanda automatically kulingana uhitaji na upatikanaji.

Wafanyakazi serikalini ni wachache sana ukilinganisha na population kwa ujumla (~60milioni)
Unajua serikali inatumia sh ngap kulipa mishahara watumishi.. ? Kwa mujibu wa bajeti Mpya mishahara inachukua tirion 9.8 HIV, na bajeti ya serikal ni tirion 40. Ni asilimia ngap Ambyo wafanyakaz wanapta na effect Yao kwenye uchumi.???
Na ukumbuke huduma zotë zinaweza kutotolewa ila bajeti ya mishahara iko palë palë. Rud Shule mdogo wangu. Don't underestimate contribution of public servant in economy
 
Nchi yetu ya Tanzani, mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei Bado hauko vizuri, ukilinganisha na nchi zingine. Kutangazwa Kwa wastan wa kupanda Kwa mishahara kutaendana na mfumuko wa Bei za vitu kuanzia mwez Julai, kutokana na iman Kuwa wafanyakaz Kwa Sasa wana hela. Nakumbuka kipindi Cha Mzee wa msoga hakupenda Kabsa kutangaza kiwango Cha mishahara kupanda Kwa Sababu hyo.

Lazima tukubali Kuwa mifumo ya kudhibiti mfumuko wa Bei hauko vizuri, Hii inapelekea vitu kupanda Bei pasipo Kuwa ufuatiliaji nzuri.

KNajua watu watasema MBNA Kenya rais wao ametangaza lakni mifumo ya Kenya tofauti Kabsa na Tanzania. Wenzetu washafika mbali kwwnye Hilo.

Zanzibar Rais wao ametangaza ila hatuwez kujilanganisha nao Kwa Sababu Bei za vitu Zanzibar hadi Sasa viko chini.ndo maana petrol wao ni sh 2600 na sisi huku 3300.

Rais amefanya Jambo JEMA sana kuwakumbuka wafanyakazi baada ya kipindi kirefu. Ila nyongeza Ingekuwa kimya kimya na watu wangepata wangeliongelea baada ya mishahara kupanda ingesaidia kudhibiti mfumuko wa Bei.
Ni bidhaa gani ambazo hutaki zipande bei? Mchele, unga, maharage na mihogo? Hujui kwamba wakulima wananunua pembejeo kwa bei ghali? Hujui kwamba huu mwaka mvua hazikua nzuri kwa hiyo tumewekeza vingi lakini mavuno ni haba?!
Kanuni za uchumi ni kupandisha kila idara na kila sekta, otherwise hata kama nyie wafanyakazi wa uma ndo peke yenu wenye pesa, bado uchumi utakwama kwingine, na taifa litakwama tu! Na kama hujui wale wazalishaji wa bidhaa, ambazo hutaki zipande sambamba na mshahara wako, hao hao ni shangazi zako na wajomba zako! Kama ukiwa na pesa na wao hawana, watakuomba, watakukopa au wakuibie, na ikishindikana wakuroge, mkose wote!
 
Havina uhusiano, bei upanda kulingana na nguvu ya soko. Mbona mafuta ya kula, nauli, vitu dukani vimepanda kabla ya mshahara
 
Damned if you do, damned if you don't.

Aliposema "lile jambo letu lipo" akasemwa
Leo kasema ongezeko ni kiasi gani anasemwa
 
Kila tatizo ni fursa, tunapaswa tuzitumie fursa zinazotokana na "mfumuko wa bei" kuzifanya mafanikio.

"Necessity is the mother of invention" Uhitaji (umuhimu) ni mama wa uvumbuzi.

Kupanda (mfumuko wa bei) kwa bei za bidhaa inatubidi wadau wa ujenzi tubuni mbinu mpya za kupunguza gharama za ujenzi bila kuathiri ubora (quality and standards). Hapa darasa la ujenzi la waja wema, tumebuni aina ya ujenzi wa ngazi za kipekee, zenye kukidi viwango na kupitiliza viwango na zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu. Bofya link ujionee: Darasa la ujenzi la Madrassatul Abraar latunukiwa Tuzo ya ubunifu wa ujenzi kutoka Shirika la Uingereza.
 
Hakuna uhusiano bei ya vitu utegemea upatikanaji, kodi, uhitaji.
Mshahara hauna uhusiano
 
Back
Top Bottom