Kiukweli hiki ndiyo kimefanya Ney wa Mitego na Harmonize waonekane wameuharibu wimbo wa Kontawa "Champion"

Kiukweli hiki ndiyo kimefanya Ney wa Mitego na Harmonize waonekane wameuharibu wimbo wa Kontawa "Champion"

Wimbo wa champion at first time niliuona kwenye status ya rafiki yangu, maneno yake yalinivutia hasa pale anaposema "tumeishi na watu wanaoamini kuwa bahati bahati zote alipangiwa Bukuku" enewei kila neno aliloimba Kontawa linavutia.

Wengi waliskiliza kipande cha Kontawa ila walipofika sehemu ya Ney wa Mitego munkari unapoa kidogo na waliskiliza wimbo Mara ya pili sehemu ya Mitego wanaipotezea, na mashabiki wengi wanahisi kuwa Mitego hakuwa na sababu ya kuingiza verse kwa ule wimbo

Ukija kwa Harmonize nae alitoa cover ila kiukweli licha ha umahiri wake wa utunzi na !ashairi na sauti back hatujaukubali sana.

Huu ni ukweli kwanini Ney wa Mitego na Harmonize waonekane wamezingua.

Kontawa maneno aliyoimba ni Yale ambayo yanawahusu watu wengi sana, na hata Kama sivyo ila yanajenga licha ambayo inatamaniwa na watu wengi. Imagine mtu anakwambia "oya mitaa niliyotoka polisi wanauza gongo😀"

Ukija kwa upande wa Harmo na Mitego, maneno waliyoingiza kwa ule wimbo yapo too personal, yaani wametumia wimbo ule kuingiza kuhusu maisha yao binafsi.

Ukweli ni kwamba watu hawavutiwi na maisha yako binafsi, Kama "niliomba nafasi ya kuimba back sikupata" everyone is going through difficulties kuliko hizo so it makes no sense kwa sisi kuanza kuskiliza matatizo yako coz nasisi tunayo yetu, wadau wa muziki tunavutiwa na stori zinazotuhusu sisi😄 masuala sijui ya nilitembea kwa mguu kutoka wapi mpaka wapi, nikaamini ntafanikiwa, so what? Sisi tunataka burudani.

Wimbo wa Kontawa naufananisha na wimbo wa Roma unaoitwa "Mkombozi" matukio aliyoimba Roma naamini sio ya kweli ila Kuna namna Fulani yanatuhusu sisi, yaani Kuna neno koja au zaidi hatimaye tunavutiwa na wimbo.
Kwa mtazamo wangu nmeona ney ameioboresha zaid ngom iyo
 
aysee.
Nilijua ni mawazo yangu tu,Ney amezingua kabisa humu,nausikiliza hapa toka asubuhi.
Ni bora hata asingepewa collabo kabisa.
kwanza kikifika kipande cha Ney huwa narudisha nyuma nauanza upya.



"ili sabuni zisiishe si tulinyoa madongo"
Upo km mm
 
Wimbo wa champion at first time niliuona kwenye status ya rafiki yangu, maneno yake yalinivutia hasa pale anaposema "tumeishi na watu wanaoamini kuwa bahati bahati zote alipangiwa Bukuku" enewei kila neno aliloimba Kontawa linavutia.

Wengi waliskiliza kipande cha Kontawa ila walipofika sehemu ya Ney wa Mitego munkari unapoa kidogo na waliskiliza wimbo Mara ya pili sehemu ya Mitego wanaipotezea, na mashabiki wengi wanahisi kuwa Mitego hakuwa na sababu ya kuingiza verse kwa ule wimbo

Ukija kwa Harmonize nae alitoa cover ila kiukweli licha ha umahiri wake wa utunzi na !ashairi na sauti back hatujaukubali sana.

Huu ni ukweli kwanini Ney wa Mitego na Harmonize waonekane wamezingua.

Kontawa maneno aliyoimba ni Yale ambayo yanawahusu watu wengi sana, na hata Kama sivyo ila yanajenga licha ambayo inatamaniwa na watu wengi. Imagine mtu anakwambia "oya mitaa niliyotoka polisi wanauza gongo😀"

Ukija kwa upande wa Harmo na Mitego, maneno waliyoingiza kwa ule wimbo yapo too personal, yaani wametumia wimbo ule kuingiza kuhusu maisha yao binafsi.

Ukweli ni kwamba watu hawavutiwi na maisha yako binafsi, Kama "niliomba nafasi ya kuimba back sikupata" everyone is going through difficulties kuliko hizo so it makes no sense kwa sisi kuanza kuskiliza matatizo yako coz nasisi tunayo yetu, wadau wa muziki tunavutiwa na stori zinazotuhusu sisi😄 masuala sijui ya nilitembea kwa mguu kutoka wapi mpaka wapi, nikaamini ntafanikiwa, so what? Sisi tunataka burudani.

Wimbo wa Kontawa naufananisha na wimbo wa Roma unaoitwa "Mkombozi" matukio aliyoimba Roma naamini sio ya kweli ila Kuna namna Fulani yanatuhusu sisi, yaani Kuna neno koja au zaidi hatimaye tunavutiwa na wimbo.
Huyo dogo simwelewi, anyway nyimbo Ni ya kawaida Sana labda kwenu masikini mmepata kifarajio
 
Yaani nyie mlitaka ney afanye sawa na kontawa....raha ya rap kila mtu yuko tofauti. Ney hajaharibu hata kidogo Sema nyie mlitaka Ile Aina ya mashairi ya kontawa iendelee kwa ney... Ney Hana Aina hiyo ya mashairi
Kama Angemshirikisha SOLO THANG hapo wnageenda sawa maana na yeye ni mtu WA VINA UTATA.
Ni kama prof Jay yeye ni STORY TELLER..... angemuweka kwenye verse yake labda ya nikusaidiaje Mfano dogo janja. Mngesema kaharibu sababu sio Aina yake ya rap.
Ney hajaharibu kaimba vile anafanya kila siku na mashahiri yake sio mabaya hayajaenda mbali sana Na story ya wimbo
 
Back
Top Bottom