Kiukweli hizi transportation cargo za weusi wenzetu zimekosa weledi kabisa

Kiukweli hizi transportation cargo za weusi wenzetu zimekosa weledi kabisa

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Kilio ni kikubwa mno kutoka kwa wateja wao. Hizi cargo za weusi wenzetu wasio na asili ya mabara mengine zina majanga mno kwenye utendaji wao.

Watu wanalalamika kutopokea mizigo yao kwa wakati. Mizigo ya China inasubiriwa hata kwa zaidi ya miezi mitano.

Nashindwa kuelewa tatizo ni wao, TPA au TRA? Kuna kampuni kubwa naifahamu ilikuwa imeshaanza kuchuana na Simba wa bahari ila nimeshtuka kuona ina kesi nyingi mno na wateja wao kuhusu mizigo kutofika.

Kiukweli tusipojirekebisha watanzania wenzetu wenye asili ya Asia watazidi kusonga mbele na kutuacha mbali.
 
Hizo ni hujuma na fitina wanafanyiana mkuu. Hao kina silent ocean ndio wameshikilia hilo shamba, hawahitaji competition kabisa shambani kwao.

Yani hiyo ni kama biashara ya mabasi ya mikoani kila routes zina wenyewe, ukijileta bila gadi unatolewa mchezoni kwa fitina kali sana
 
Kilio ni kikubwa mno kutoka kwa wateja wao. Hizi cargo za weusi wenzetu wasio na asili ya mabara mengine zina majanga mno kwenye utendaji wao. Watu wanalalamika kutopokea mizigo yao kwa wakati. Mizigo ya China inasubiriwa hata kwa zaidi ya miezi mitano. Nashindwa kuelewa tatizo ni wao, TPA au TRA? Kuna kampuni kubwa naifahamu ilikuwa imeshaanza kuchuana na Simba wa bahari ila nimeshtuka kuona ina kesi nyingi mno na wateja wao kuhusu mizigo kutofika. Kiukweli tusipojirekebisha watanzania wenzetu wenye asili ya Asia watazidi kusonga mbele na kutuacha mbali.
Tatizo ni kazi tunapeana kwa kujuana,bila hata kuwapiga msasa wafanyakazi,mfano Mmoja,jamaa alikuwa police huko kazi ikawaka!akaajiliwa kampuni Moja na Mimi inyohusika na mauzo ya bidhaa.Basi tukiwa semina,akichangia mada Moja anasema yeye Huwa anawakazimisha wateja wanunue!Mtoa mada akamuonya kwamba awashawishi sio kuwalazimisha!Kaleta upolisi kwenye mambo ya mahusiano na wateja.
 
Kweli kuna shida, kuna mmoja nilimtumia tumekubaliana bei na akanipa invoice kabisa nilipe, mzigo ulipofika Dar akabadilika eti alikosea anataka malipo zaidi! Terrible😡😡
 
Mbaya sana!
Yes nilimwambia siongezi hata sumni, makosa yako yananihusu nini mimi? Maamuzi ya kukupa kazi yalitokana na kulinganisha bei yako na wengine, ina maana kuna waliokua chini ya bei yako mpya, otherwise uza mzigo tukutane mahakamani! Akauachia
 
Tatizo ni kazi tunapeana kwa kujuana,bila hata kuwapiga msasa wafanyakazi,mfano Mmoja,jamaa alikuwa police huko kazi ikawaka!akaajiliwa kampuni Moja na Mimi inyohusika na mauzo ya bidhaa.Basi tukiwa semina,akichangia mada Moja anasema yeye Huwa anawakazimisha wateja wanunue!Mtoa mada akamuonya kwamba awashawishi sio kuwalazimisha!Kaleta upolisi kwenye mambo ya mahusiano na wateja.
Sasa wewe kwa uelewa wako ukajua kwamba anawalazimisha kwa nguvu? Pengine hiyo kuwashawishi yeye kutumia neno kuwalazimisha! Hizo zinaitwa non verbal mkuu!
 
Hizo ni hujuma na fitina wanafanyiana mkuu. Hao kina silent ocean ndio wameshikilia hilo shamba, hawahitaji competition kabisa shambani kwao.

Yani hiyo ni kama biashara ya mabasi ya mikoani kila routes zina wenyewe, ukijileta bila gadi unatolewa mchezoni kwa fitina kali sana
Mmekosa professionalism sasa mnaanza kuwasingizia akina GSM
 
Kilio ni kikubwa mno kutoka kwa wateja wao. Hizi cargo za weusi wenzetu wasio na asili ya mabara mengine zina majanga mno kwenye utendaji wao. Watu wanalalamika kutopokea mizigo yao kwa wakati. Mizigo ya China inasubiriwa hata kwa zaidi ya miezi mitano. Nashindwa kuelewa tatizo ni wao, TPA au TRA? Kuna kampuni kubwa naifahamu ilikuwa imeshaanza kuchuana na Simba wa bahari ila nimeshtuka kuona ina kesi nyingi mno na wateja wao kuhusu mizigo kutofika. Kiukweli tusipojirekebisha watanzania wenzetu wenye asili ya Asia watazidi kusonga mbele na kutuacha mbali.
Upigaji mwingi sana yaani
Kweli kuna shida, kuna mmoja nilimtumia tumekubaliana bei na akanipa invoice kabisa nilipe, mzigo ulipofika Dar akabadilika eti alikosea anataka malipo zaidi! Terrible😡😡
Yes nilimwambia siongezi hata sumni, makosa yako yananihusu nini mimi? Maamuzi ya kukupa kazi yalitokana na kulinganisha bei yako na wengine, ina maana kuna waliokua chini ya bei yako mpya, otherwise uza mzigo tukutane mahakamani! Akauachia
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Sasa wewe kwa uelewa wako ukajua kwamba anawalazimisha kwa nguvu? Pengine hiyo kuwashawishi yeye kutumia neno kuwalazimisha! Hizo zinaitwa non verbal mkuu!
Lugha hiyo ya kuwalazimisha hapo kwenye sales and marketing,hata Bibi yangu hakusoma,hajawahi itumia shambani,hizo lugha za kijeshi!
 
Back
Top Bottom