Kiukweli mabinti wa Arusha wako straight

Kiukweli mabinti wa Arusha wako straight

Nickson Swai

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2018
Posts
597
Reaction score
549
Habari aisee kiukweli mimi nimeishi na kubahatika kufanya kazi mkoa wa Arusha muda mrefu na nimezunguka mikoa mingine ila suala la mahusiano mabinti wa Arusha sio kama Dar wazushi na walaghai kiukweli Arusha mfano baadhi ya watoto wa Mbauda, Ngusero, Mpaka Sakina wapo straight sio wazushi.

Yaani basi tu kwa sababu saivi nipo Dar mkoa ambao nilipanga kuishi muda wote Arusha hivyo changamoto niliyokutana nayo ndomana nipo Dar kwa sasa.

Sijajua kwa upande wa wenzangu kwa upande wangu hawakunisumbua akipanga appointment jumamos au siku yoyote sio hapa Dar mtu anasema j2 ntakutafuta ikifika siku hiyo ratiba nyingi mara oooh nimepata dharura ilimradi akuzingue.

Nachokumbuka kuna mdada nilimpata suala la dini lakini mahusiano hayakudumu alikataa kubadili dini awe mkristo na mimi nilikataa mwisho wa siku akapata muislamu akamuoa big up A city.
 
Habari aisee kiukweli mimi nimeishi na kubahatika kufanya kazi mkoa wa Arusha muda mrefu na nimezunguka mikoa mingine ila suala la mahusiano mabinti wa Arusha sio kama Dar wazushi na walaghai kiukweli Arusha mfano baadhi ya watoto wa Mbauda, Ngusero,Mpaka Sakina wapo straight sio wazushi yaan basi tu kwa sababu saivi nipo Dar mkoa ambao nilipanga kuishi muda wote Arusha hivyo changamoto niliyokutana nayo ndomana nipo Dar kwa sasa.Sijajua kwa upande wa wenzangu kwa upande wangu hawakunisumbua akipanga appointment jumamos au siku yoyote sio hapa Dar mtu anasema j2 ntakutafuta ikifika siku hiyo ratiba nyingi mara oooh nimepata dharura ilimradi akuzingue. Nachokumbuka kuna mdada nilimpata suala la dini lakini mahusiano hayakudumu alikataa kubadili dini awe mkristo na mimi nilikataa mwisho wa siku akapata muislamu akamuoa big up A city.
Pole Swai charii ya R
Yamekukuta mzee mwenzangu
Vuta subira uko mjini boss
 
Arusha ni mji fulan hv wa kitasha Sana , ukiwa na pesa mingi ndo mji wa kuchil hapa bongo , weather ipo Bomba kinyama , na recreation ground zipo nyingi Sana , tatizo wale madogo wavuta bangi wanautia doa
 
Mangi ulifukuzia warangi bila shaka...
Toto za mbauda ngalelo wengi ni warangi
Pia nilibahatika kupata wenzetu wa Tabora na Mwanza ila tunawasiliana ila sio mapenzi tena sababu kashakua mama fulani alikua x wangu kisa dini lakini alikua anapika na kunipakulia tulikaa hapo Ngusero.
 
😂😂😂mangi kule ushambani Wana swaga za kiume ,Dar ndo mpango mzima na hata hapa dar wapo mademu wa chuga kibao hapa Town achana na kule ushamba mwingi wanapigo za kiume.....Mangi dar hapa ukiwa mshamba utapoteza kula pamba za maana kuwa muongo muongo na wewe omba gari kama hauna kula misele town utawapata tu sio chuga mademu wanabase wanaongea halafu wamekeketwa
 
Back
Top Bottom