Kiukweli Marais wastaafu wa Tanzania ni wanyonge wenzetu, utajiri aliouacha Moi Kenya unadhihirisha ubepari wa nchi hiyo!

Umenena ukweli kabisa
In God we Trust
 
Mzee Jamal gani aliwekeza mapesa Canada kiasi cha kukataa kuja kuzikwa Tanzania?
Huyo Mzee jamal alikufa maskini kabisa kiasi cha kushindwa kumudu gharama za matibabu yake hadi kuombewa msaada na Nyerere kwa serikali ya Canada.

Acheni habari za kizushi. Soma hapo kwenye hii thread ipo humu humu JF iliyoelezea jinsi alivyokufa maskini.
Uraia Pacha Tanzania: Siasa ya Bernard Membe na hatma yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…