Nyoka kibisa JF-Expert Member Joined Nov 30, 2014 Posts 568 Reaction score 1,507 Jun 25, 2019 #61 Fau60e said: huu mzigo ni sh ngapi Click to expand... kwa wenye uzoefu wa bei za buti naomba mnisaidie bei ya hicho kifaa
Fau60e said: huu mzigo ni sh ngapi Click to expand... kwa wenye uzoefu wa bei za buti naomba mnisaidie bei ya hicho kifaa
hearly JF-Expert Member Joined Jun 19, 2014 Posts 45,678 Reaction score 63,304 Jul 9, 2019 #62 boda said: i like this, where can i get Click to expand... Daah hivi vimekaa kijanja sana
Sebago JF-Expert Member Joined Mar 7, 2019 Posts 223 Reaction score 274 Jul 11, 2019 #63 yello masai said: Kama sikosei ni Arusha. Nilinunua Dodoma kwenye duka la vifaa vya ngozi. Nilinunua hicho kiatu na mkanda wa suruali. Kiatu nakipigisha mishe balaa, mkanda navaa daily. Mwaka wa sita sasa. Click to expand... . Mwaka wa 9 huu unaelekea Ndugu, hivyo vifaa mpaka vikusemeshe au vijifiche ndo uvunje navyo mkataba...??.πππ
yello masai said: Kama sikosei ni Arusha. Nilinunua Dodoma kwenye duka la vifaa vya ngozi. Nilinunua hicho kiatu na mkanda wa suruali. Kiatu nakipigisha mishe balaa, mkanda navaa daily. Mwaka wa sita sasa. Click to expand... . Mwaka wa 9 huu unaelekea Ndugu, hivyo vifaa mpaka vikusemeshe au vijifiche ndo uvunje navyo mkataba...??.πππ