Kiukweli Siitendei Haki Fremu Yangu..Msaada.!!

Kiukweli Siitendei Haki Fremu Yangu..Msaada.!!

Mkuu hii biashara unafaham vizuri kuliko mleta uzi!! Mleta uzi anaijua hii biashara kwanjenje tu' na hajawahi fanya biashara nyingine..

Mkuu mleta uzi fata ushauri wa mdau hapo juu!! Mim pia nina kibiashara kama hicho na bahati nzuri kipo maeneo ya karibu na hapo ulipo!! Nachokiona kwako ni kwamba mtaji wako haujitosherezi' pia kama upo maeneo ya pale kwamsuguli pembezoni mwa barabara ya morogoro usijiroge ukachanganya na biashara nyingine' hapo utapoteza wateja wengi zaidi. Boresha biashara hiyohiyo, pendezesha ofisi yako na huduma nzuri na za uhakika kwawateja! Ukifanya hivyo hautojuta kamwe.!

Alafu nilikua natafuta frem eneo hilo' vipi uwezekano wa kupata upo?

Sipo Kwamsuguri Barabarani Mkuu, Nipo Ndani Kidogo, Kuhusu Kupata Fremu Uku Ni Unaongea Na Dalali Tu Akikupigia Simu Imepatikana Unakuja Na Cash Mda Huohuo Ukidelay Kidogo Unakuta Ishachukuliwa.
 
Back
Top Bottom