Ndio mleta mada ni muongongo na hajui.
Kwenye soka kufungwa kwa klabu ya soka sio kuliabisha taifa bali ni sehemu ya mchezo,hata timu za taifa za nchi zinafungwa sembuse klabu!
Kama hujui soka hujui tu.
Simba tutapindua meza,ni ngumu kupindua lakini kwa klabu ya Simba ni rahisi.
Simba nguvu moja.