Kiukweli, Simba wameshazoea kuliabisha taifa huko ugenini. Tumechoka!

Hata Lethoto watufunge,itakuwa ni aibu" by hayati's voice
 
Na tutakapowapuliza hawa Wazulu hawa vibaraka wao lazima tuwakekete
 
Utopolo hapo wanaona raha kweli, mwisho wa msimu mtajikuta hata nafasi ya pili hamna.. wakati wenzenu tutakua tumeisha zoea sana kufika robo fainal na ubingwa wa ligi mkononi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…