Kiukweli watoto wa Uhazili wanapamba Tabora

Kiukweli watoto wa Uhazili wanapamba Tabora

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wadau nimeshuka leo Tabora kikazi.Tabora ya sasa sio kama ya zamani.Kinachonifariji ni hawa warembo mixer wa Uhazili, Watoto wazuri,wakienyeji na wa tauni.Wamepamba mji safi sana.mwezi jana nilikuwa huku mji ulikuwa umepoa sana,kumbe digidigi hawa walikuwa likizo.Imenibidi nipange hapa JD ambako kuna hostel zao ili kuburudika zaidi.Kwa kweli ukileta masihara unaweza usirudi na repoti kwa Bosi.Hongereni watoto wazuri wa Uhazili,nyie ndo mna-run Tabora.Ila naambia mnalisha waume za watu "sansa"
 
Ni balaa hawa watoto nakwambi,tz nzima wapo hapa.
 
hahahaaaa daaa kumbe kuna watu huwa wanapamba miji???
 
wadau nimeshuka leo tabora kikazi.tabora ya sasa sio kama ya zamani.kinachonifariji ni hawa warembo mixer wa uhazili, watoto wazuri,wakienyeji na wa tauni.wamepamba mji safi sana.mwezi jana nilikuwa huku mji ulikuwa umepoa sana,kumbe digidigi hawa walikuwa likizo.imenibidi nipange hapa jd ambako kuna hostel zao ili kuburudika zaidi.kwa kweli ukileta masihara unaweza usirudi na repoti kwa bosi.hongereni watoto wazuri wa uhazili,nyie ndo mna-run tabora.ila naambia mnalisha waume za watu "sansa"

ukimwi upo
 
Wadau nimeshuka leo Tabora kikazi.Tabora ya sasa sio kama ya zamani.Kinachonifariji ni hawa warembo mixer wa Uhazili, Watoto wazuri,wakienyeji na wa tauni.Wamepamba mji safi sana.mwezi jana nilikuwa huku mji ulikuwa umepoa sana,kumbe digidigi hawa walikuwa likizo.Imenibidi nipange hapa JD ambako kuna hostel zao ili kuburudika zaidi.Kwa kweli ukileta masihara unaweza usirudi na repoti kwa Bosi.Hongereni watoto wazuri wa Uhazili,nyie ndo mna-run Tabora.Ila naambia mnalisha waume za watu "sansa"

mkuu hiki chakula gani....
 
Mi napenda siku moja mtu alale na mtoto wake bila kujua ili iwe fundisho
 
Wadau nimeshuka leo Tabora kikazi.Tabora ya sasa sio kama ya zamani.Kinachonifariji ni hawa warembo mixer wa Uhazili, Watoto wazuri,wakienyeji na wa tauni.Wamepamba mji safi sana.mwezi jana nilikuwa huku mji ulikuwa umepoa sana,kumbe digidigi hawa walikuwa likizo.Imenibidi nipange hapa JD ambako kuna hostel zao ili kuburudika zaidi.Kwa kweli ukileta masihara unaweza usirudi na repoti kwa Bosi.Hongereni watoto wazuri wa Uhazili,nyie ndo mna-run Tabora.Ila naambia mnalisha waume za watu "sansa"
WATOTO WA UHAZILI NI HABARI NYINGINE
 
Back
Top Bottom