Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Huu ni utamaduni ni mzuri kuigwa
Utamaduni wa kukumbuka nyumbani walau maramoja kwa kila mwaka, kipengele hiki kwangu hunivutia sana, kwanza ni kama kihochea cha maendeleo ya kaya na kaya
Kile kitendo cha mtu wa familia fulani kurudi na kitu nyumbani na mtu wa familia fulani kutokuwa nacho, kinamfanya naye akasirike na kuongeza namna ya utafutaji!
Na kuiga jambo zuri sio ushamba, watu kutoka Kigoma, Bukoba, Kanda ya ziwa, Mbeya na maeneo mengine, tunayo ya kuiga kutoka watu wa Kasikazini na huwenda hata wao yapo ambayo huiga kutoka kwenye watu wa mikoa mingine
Utamaduni wa kukumbuka nyumbani walau maramoja kwa kila mwaka, kipengele hiki kwangu hunivutia sana, kwanza ni kama kihochea cha maendeleo ya kaya na kaya
Kile kitendo cha mtu wa familia fulani kurudi na kitu nyumbani na mtu wa familia fulani kutokuwa nacho, kinamfanya naye akasirike na kuongeza namna ya utafutaji!
Na kuiga jambo zuri sio ushamba, watu kutoka Kigoma, Bukoba, Kanda ya ziwa, Mbeya na maeneo mengine, tunayo ya kuiga kutoka watu wa Kasikazini na huwenda hata wao yapo ambayo huiga kutoka kwenye watu wa mikoa mingine