Kiundwe Chama cha Watu Wenye Akili Tanzania

Kiundwe Chama cha Watu Wenye Akili Tanzania

Tanzanite klm

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
478
Reaction score
408
Salaam.
Kumekuwa na vyama vingi vya kutetea au kusemea makundi mbalimbali ya watu ila watu wenye akili nyingi AKA ma genius hawana kundi au chama cha kuwasemea na kuwatetea.

Watu wenye akili sana mara nyingi huonekana wakorofi na mara nyingine wanaonekana hawaeleweki pengine kwa sababu kujieleza sana hawawezi au maarifa au mawazo wanayotoa ni makubwa mnoo hivyo akili ya kawaida si rahisi kung'amua.

Ili kujiunga na chama hiki utaulizwa maswali kadhaa ya logic na utambuzi, elimu sio kipimo rasmi cha kwamba mtu ni genius wako majitu yana akili nyingi hawakupata fursa ya shule na pia waliopata fursa ya shule.

Chama hiki kitasaidia viongozi hasa wa miimili mitatu ya nchi, kwa kutoa ushauri wa kitaalamu na kulalamika au kulaumu haitakuwa kwenye chama hiki, sisi ni kushauri na kutoa majibu magumu. Tutaomba kumuona Rais mara moja kwa mwaka naamini tutapata uwakilishi. Ni chama cha watu wasiotaka umaarufu wala kamera.
Mnaonaje hiyo?

Chama kisajiliwe kabisa na tupate msemaji kutiwakilisha.

Chama cha kutetea watu wenye akili Tanzania
 
Salaam.
Kumekuwa na vyama vingi vya kutetea au kusemea makundi mbalimbali ya watu ila watu wenye akili nyingi AKA ma genius hawana kundi au chama cha kuwasemea na kuwatetea.

Watu wenye akili sana mara nyingi huonekana wakorofi na mara nyingine wanaonekana hawaeleweki pengine kwa sababu kujieleza sana hawawezi au maarifa au mawazo wanayotoa ni makubwa mnoo hivyo akili ya kawaida si rahisi kung'amua.

Ili kujiunga na chama hiki utaulizwa maswali kadhaa ya logic na utambuzi, elimu sio kipimo rasmi cha kwamba mtu ni genius wako majitu yana akili nyingi hawakupata fursa ya shule na pia waliopata fursa ya shule.

Chama hiki kitasaidia viongozi hasa wa miimili mitatu ya nchi, kwa kutoa ushauri wa kitaalamu na kulalamika au kulaumu haitakuwa kwenye chama hiki, sisi ni kushauri na kutoa majibu magumu. Tutaomba kumuona Rais mara moja kwa mwaka naamini tutapata uwakilishi. Ni chama cha watu wasiotaka umaarufu wala kamera.
Mnaonaje hiyo?

Chama kisajiliwe kabisa na tupate msemaji kutiwakilisha.

Chama cha kutetea watu wenye akili Tanzania
Hata humu JF nilishashauri moderetors watenge wenye akili na wapumbavu

Si sawa kuchangia jukwaa Moja na wapumbavu
 
Salaam.
Kumekuwa na vyama vingi vya kutetea au kusemea makundi mbalimbali ya watu ila watu wenye akili nyingi AKA ma genius hawana kundi au chama cha kuwasemea na kuwatetea.

Watu wenye akili sana mara nyingi huonekana wakorofi na mara nyingine wanaonekana hawaeleweki pengine kwa sababu kujieleza sana hawawezi au maarifa au mawazo wanayotoa ni makubwa mnoo hivyo akili ya kawaida si rahisi kung'amua.

Ili kujiunga na chama hiki utaulizwa maswali kadhaa ya logic na utambuzi, elimu sio kipimo rasmi cha kwamba mtu ni genius wako majitu yana akili nyingi hawakupata fursa ya shule na pia waliopata fursa ya shule.

Chama hiki kitasaidia viongozi hasa wa miimili mitatu ya nchi, kwa kutoa ushauri wa kitaalamu na kulalamika au kulaumu haitakuwa kwenye chama hiki, sisi ni kushauri na kutoa majibu magumu. Tutaomba kumuona Rais mara moja kwa mwaka naamini tutapata uwakilishi. Ni chama cha watu wasiotaka umaarufu wala kamera.
Mnaonaje hiyo?

Chama kisajiliwe kabisa na tupate msemaji kutiwakilisha.

Chama cha kutetea watu wenye akili Tanzania
Mimi ndiyo niwe kiongozi wao wa kuakiki akili maana tanzania vyama vya wapumbavu wasio na akili vipo vingi kama CCM ,CHADEMA ACT NK
 
Salaam.
Kumekuwa na vyama vingi vya kutetea au kusemea makundi mbalimbali ya watu ila watu wenye akili nyingi AKA ma genius hawana kundi au chama cha kuwasemea na kuwatetea.

Watu wenye akili sana mara nyingi huonekana wakorofi na mara nyingine wanaonekana hawaeleweki pengine kwa sababu kujieleza sana hawawezi au maarifa au mawazo wanayotoa ni makubwa mnoo hivyo akili ya kawaida si rahisi kung'amua.

Ili kujiunga na chama hiki utaulizwa maswali kadhaa ya logic na utambuzi, elimu sio kipimo rasmi cha kwamba mtu ni genius wako majitu yana akili nyingi hawakupata fursa ya shule na pia waliopata fursa ya shule.

Chama hiki kitasaidia viongozi hasa wa miimili mitatu ya nchi, kwa kutoa ushauri wa kitaalamu na kulalamika au kulaumu haitakuwa kwenye chama hiki, sisi ni kushauri na kutoa majibu magumu. Tutaomba kumuona Rais mara moja kwa mwaka naamini tutapata uwakilishi. Ni chama cha watu wasiotaka umaarufu wala kamera.
Mnaonaje hiyo?

Chama kisajiliwe kabisa na tupate msemaji kutiwakilisha.

Chama cha kutetea watu wenye akili Tanzania
Umewaza mbali mkuu! Una wazo zuri ila itabidi wengi wao watokee kwa Ruto
 
Back
Top Bottom