Kiungo Himid Mao asaini mkataba wa miaka 3 Klabu ya Petrojet ya Misri

All the best Himid Mao Mkami, jamaa namkubali akiwa uwanjani cuz most of the time anakuwa kachomekea jezi yake, wajuvi wa mambo wanasema tabia km hiyo inaashiria jamaa wakati anasoma alikuwa kiranja kwasababu viranja muda wote walitakiwa kuwa wamechomekea ili kuwa mfano kwa wengine.
 
Safi sana Una bahati mbaya tu hujacheza na Ramos ila roho ya Himid inafanana sana na ya Ramos.
 
Safi sana nenda kaiwakilishe tz vyema
 
Hongera japo umetoka umri ukianza kukutupa mkono
 
Katika wachezaji vilaza Tanzania ni himidi mao hajui kitu
 
Aliniboa mechi moja ya Taifa stars na Algeria nikamuona jamaa ni average player
Game moja tu ndio unamvua vyeo kiasi hicho [emoji23]?..

Umesahau ata Busquet alipotezwa na Nzonzi
 
Game moja tu ndio unamvua vyeo kiasi hicho [emoji23]?..

Umesahau ata Busquet alipotezwa na Nzonzi
Afadhali busquets anapotezwa uku anakaza sasa yeye kila akipata mpira anapoteza tu jamaa alizingua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…