babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Mimi nadhani Yanga huwa hawana nia ya kumsajili ila wanachofanya ni kumpaisha mchezaji kama vile wanamsajili ingawa nia yao ni kuwakomoa Simba watoe fedha nyingi kwa mchezaji.Mchezaji kila dirisha la usajili hua anasajiliwa yanga msimu unapo anza anacheza Simba sijui hii kitaalum imekaaje
Kuna kipindi nasikia walimwomba mpaka msamaha. Wakati tuliaminishwa mchezaji ndio mwenye makosa.You reap what you sow. Simba walimlea wenyewe, kila msimu analeta drama mpya wanambembeleza, kazoea.
Na hawana cha kumfanya, watambembeleza yataisha.
😹😹😹Baada yakupandwa hasira na kuamua kuondoka nchini hivi karibuni na kurudi kwako, Habari za hivi punde ni kwamba yule kiungo mwenye mwendo wa bibi harusi, mwendo wa pole kama mdudu aina ya konokono sasa hivi hapatikani kwenye simu.
Paka tunapoenda mitamboni ni kwamba
Viongozi wanahaha kumtafuta bila mafanikio,
Tutaendelea kuwajuza kila kinachoendelea
Akifichwa anakuwa konokonokiungo anaefanya vitu mechi ndogo mechi kubwa anafichwa.
Kwa hii comment case closed 🔒Mchezaji kila dirisha la usajili hua anasajiliwa yanga msimu unapo anza anacheza Simba sijui hii kitaalum imekaaje