Rajabmbisha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 316
- 530
Viongozi wa simba waache kubembeleza wachezaji,tafuteni wachezaji wengine!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inadhihirisha Bado walitaka kuwatumia hawahawa mizigo msimu unaofata, kwa maana hio scout yao haikujiandaa kutafta wechezaji wapya sasa wanahaha nakushindwa wajigawe vp mda nao hautoshi .Viongozi wa simba waache kubembeleza wachezaji,tafuteni wachezaji wengine!
Akili zako zinakuaga kama za mwendawazimu...mwezi ukiwa mchanga na ww akili zinakuruka..Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Masandakolozidad SC.
23. 5imba SC.View attachment 2981185View attachment 2981186
Cha ajabu kila mwaka utopolo huwa wanawafariji kunguni wao kwamba watamsajili.Wajinga sana.Baada yakupandwa hasira na kuamua kuondoka nchini hivi karibuni na kurudi kwako, Habari za hivi punde ni kwamba yule kiungo mwenye mwendo wa bibi harusi, mwendo wa pole kama mdudu aina ya konokono sasa hivi hapatikani kwenye simu.
Paka tunapoenda mitamboni ni kwamba
Viongozi wanahaha kumtafuta bila mafanikio,
Tutaendelea kuwajuza kila kinachoendelea
Hilo bango lichapishe ulitundike sebuleni kwa shemeji yako.Mmezoea mabango.Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Masandakolozidad SC.
23. 5imba SC.View attachment 2981185View attachment 2981186
Huyo jamaa aende tuBaada yakupandwa hasira na kuamua kuondoka nchini hivi karibuni na kurudi kwako, Habari za hivi punde ni kwamba yule kiungo mwenye mwendo wa bibi harusi, mwendo wa pole kama mdudu aina ya konokono sasa hivi hapatikani kwenye simu.
Paka tunapoenda mitamboni ni kwamba
Viongozi wanahaha kumtafuta bila mafanikio,
Tutaendelea kuwajuza kila kinachoendelea
Kwani hilo huwa linakutesa sana?You reap what you sow. Simba walimlea wenyewe, kila msimu analeta drama mpya wanambembeleza, kazoea.
Na hawana cha kumfanya, watambembeleza yataisha.
Mtani nimekuhamu mno, umepotelea wapi Mama la Mama?Huyo Chama ndo nani kila msimu ukiisha? Mwacheni aondoke..
Pole sana Kolokhamsa Mwandamizi toka Mchambawima.Hilo bango lichapishe ulitundike sebuleni kwa shemeji yako.Mmezoea mabango.
Hapo anawadengulia wampandishie dau, na watapanda tuMchezaji kila dirisha la usajili hua anasajiliwa yanga msimu unapo anza anacheza Simba sijui hii kitaalum imekaaje
Pamoja na kuitwa majina yote haya ila aliyetoa jina la utopolo final yàani tunanyumbulisha tuSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Masandakolozidad SC.
23. 5imba SC.View attachment 2981185View attachment 2981186
Nadhani haujawahi kuona 6-0!Siifchui siri hiyo.Pole sana Kolokhamsa Mwandamizi toka Mchambawima.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Usinijibu vibaya lakini sis 😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Huyo Chama ndo nani kila msimu ukiisha? Mwacheni aondoke..
Pole sana Mtani wangu, ni mapito tu mtakaa sawa Ndugu zangu Makolokolo [emoji23]Pamoja na kuitwa majina yote haya ila aliyetoa jina la utopolo final yàani tunanyumbulisha tu
Utopolo
Uto
Utopwinyo
Utopwax
.......ongezea
PhD ya 2000 si ya moto moto sawa na PhD ya 2023/2024.Nadhani haujawahi kuona 6-0!Siifuchui siri hiyo.
Kwa hiyo mwalimu aliyekafundisha katoto ka mwaka 2000 alikosea?Jitazame upya hapo chini.PhD ya 2000 si ya moto moto sawa na PhD ya 2023/2024.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hahaha nipo huku mitaa ya Hombolo naangalia shamba darasa la ndiziMtani nimekuhamu mno, umepotelea wapi Mama la Mama?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.