Tetesi: Kiungo konokono awazimia simu viongozi

Tetesi: Kiungo konokono awazimia simu viongozi

Huyu mwamba si ndio aliekinzana na Mo tajiri na Bado watu wakamthamini kuliko Mo haya sasa kikowapi.

Mchezaji hawez akawa mkubwa kuliko timu au tajiri. Akizingua fukuza.
 
Viongozi wa simba waache kubembeleza wachezaji,tafuteni wachezaji wengine!
Hii inadhihirisha Bado walitaka kuwatumia hawahawa mizigo msimu unaofata, kwa maana hio scout yao haikujiandaa kutafta wechezaji wapya sasa wanahaha nakushindwa wajigawe vp mda nao hautoshi .
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.View attachment 2981185View attachment 2981186
Akili zako zinakuaga kama za mwendawazimu...mwezi ukiwa mchanga na ww akili zinakuruka..
##kilaza FC##
 
Baada yakupandwa hasira na kuamua kuondoka nchini hivi karibuni na kurudi kwako, Habari za hivi punde ni kwamba yule kiungo mwenye mwendo wa bibi harusi, mwendo wa pole kama mdudu aina ya konokono sasa hivi hapatikani kwenye simu.

Paka tunapoenda mitamboni ni kwamba
Viongozi wanahaha kumtafuta bila mafanikio,
Tutaendelea kuwajuza kila kinachoendelea
Cha ajabu kila mwaka utopolo huwa wanawafariji kunguni wao kwamba watamsajili.Wajinga sana.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.View attachment 2981185View attachment 2981186
Hilo bango lichapishe ulitundike sebuleni kwa shemeji yako.Mmezoea mabango.
 
Baada yakupandwa hasira na kuamua kuondoka nchini hivi karibuni na kurudi kwako, Habari za hivi punde ni kwamba yule kiungo mwenye mwendo wa bibi harusi, mwendo wa pole kama mdudu aina ya konokono sasa hivi hapatikani kwenye simu.

Paka tunapoenda mitamboni ni kwamba
Viongozi wanahaha kumtafuta bila mafanikio,
Tutaendelea kuwajuza kila kinachoendelea
Huyo jamaa aende tu
 
Mchezaji kila dirisha la usajili hua anasajiliwa yanga msimu unapo anza anacheza Simba sijui hii kitaalum imekaaje
Hapo anawadengulia wampandishie dau, na watapanda tu
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.View attachment 2981185View attachment 2981186
Pamoja na kuitwa majina yote haya ila aliyetoa jina la utopolo final yàani tunanyumbulisha tu
Utopolo
Uto
Utopwinyo
Utopwax
.......ongezea
 
Pamoja na kuitwa majina yote haya ila aliyetoa jina la utopolo final yàani tunanyumbulisha tu
Utopolo
Uto
Utopwinyo
Utopwax
.......ongezea
Pole sana Mtani wangu, ni mapito tu mtakaa sawa Ndugu zangu Makolokolo [emoji23]

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Back
Top Bottom