The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Ha ha ha ha ha haAlikuwa anapokea dolla elfu 30 kwa mwezi norway
Wabakaji??????[emoji28][emoji28][emoji28][emoji38]Henry Joseph Shindika moja ya viungo bora wakabaji.
[emoji3][emoji3]Wabakaji??????[emoji28][emoji28][emoji28][emoji38]
Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
Yaukweli hayo, ngoja tubaki tu iko siku nasi tutapata[emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wazuri wazuri wanaolewa,yamebaki madungaembe yanahangaika yanahangaika!!
Hawajaachana?Nilivyoona kiungo nkajua kitunguu swaumu
Mimi nilidhani ni mchungaji wa makanisa ya walokole kule kijijini MpitimbiMbona kachoka sana .
Daaaah maisha safari kwa kweli.