Kiungo wa Yanga Jonas Mkude Ashindwa Kesi Dhidi Ya Simba.

Kiungo wa Yanga Jonas Mkude Ashindwa Kesi Dhidi Ya Simba.

Hivi Yanga kuna kesi waliwahi kushinda? Maana najua huo ni ushauri wa wanasheria wa Yanga, sasa ajipange kulipa fidia
Kwani Yanga ndo walikuwa na kesi na Mo
Au ni Mkude mwenyewe
 
Hizi ndo hoja alizojazwa na yule mwanasheria feki wa utopolo😄.

Ila yule mwanasheria wa uto ni sifuri kabisa
Kweli wewe ni mbumbumbu
Hapo Kuna sehemu Yanga, walipeleka kesi mahakamani

Aliyeshitak ni Mkude siyo Yanga
Mwanasheria wa Yanga hawezi kufanya kazi za Mkude
Mkude aliweka mwanasheria wake
Acha kuwa mbumbumbu
 
Kwani Yanga ndo walikuwa na kesi na Mo
Au ni Mkude mwenyewe
tafadhari mkuu,fanya mpango wa kujua Sheria au ifatilie ,yanga alitakiwa kutoa ushahidi na Simba kutoa ushahidi kwenye madai ya mkude

Na ,hapa SHIDA inajitokeza mkude inaonesha hakufatilia kitu kinaitwa offsetting kwenye mkataba mkuu
 
tafadhari mkuu,fanya mpango wa kujua Sheria au ifatilie ,yanga alitakiwa kutoa ushahidi na Simba kutoa ushahidi kwenye madai ya mkude

Na ,hapa SHIDA inajitokeza mkude inaonesha hakufatilia kitu kinaitwa offsetting kwenye mkataba mkuu
Nimekuuliza mwanasheria wa Yanga anafanya kazi ya kufuatilia kesi binafsi za kila mchezaji hata kama ataachana na mkewe, mwanasheria wa Yanga aende mahakamani kutetea
 
Kweli wewe ni mbumbumbu
Hapo Kuna sehemu Yanga, walipeleka kesi mahakamani

Aliyeshitak ni Mkude siyo Yanga
Mwanasheria wa Yanga hawezi kufanya kazi za Mkude
Mkude aliweka mwanasheria wake
Acha kuwa mbumbumbu
Ila kiukweli mwanasheria wa Utopolo ni mweupe sana.
 
Kitaalamu hii inaitwa "double entry system"
 
Katambulishwa Yanga tar 12 Julai...
Mkataba wake na Simba umeisha tar 30 Julai...

Mchezaji huweza kutambulishwa ndani ya mkataba na timu nyingine?

Au alikuwa na pre-contract kwa mujibu wa sheria ya Bosman?
 
Katambulishwa Yanga tar 12 Julai...
Mkataba wake na Simba umeisha tar 30 Julai...

Mchezaji huweza kutambulishwa ndani ya mkataba na timu nyingine?

Au alikuwa na pre-contract kwa mujibu wa sheria ya Bosman?
We hujui Simba ndo walitangaza kumwachia mapema kabisa
Ina maana kumwachia walivunja mkataba
Yeye akapata timu nyingine
Au ulitaka acheze Simba iliyotangaza kumtema
 
We hujui Simba ndo walitangaza kumwachia mapema kabisa

Ninqchojua ni kwamba ndani ya miezi 6 ya mwisho yq mkataba, mchezaji anaweza tafuta timu nyingine na klabu yake inaweza ikampa taarifa ya kutoongeza mkataba...

Ina maana kumwachia walivunja mkataba
Yeye akapata timu nyingine
Au ulitaka acheze Simba iliyotangaza kumtema

Maelezo yangu kwa juu hapa yanajitosheleza mkuu...

Mchezaji anakuwa huru kufanya mkataba wa awali na sio mkataba kamili...
 
Ninqchojua ni kwamba ndani ya miezi 6 ya mwisho yq mkataba, mchezaji anaweza tafuta timu nyingine na klabu yake inaweza ikampa taarifa ya kutoongeza mkataba...



Maelezo yangu kwa juu hapa yanajitosheleza mkuu...

Mchezaji anakuwa huru kufanya mkataba wa awali na sio mkataba kamili...
Kwaiyo Simba walimpa barua ya kutokuwa nae ndani ya mkataba?
 
Kweli wewe ni mbumbumbu
Hapo Kuna sehemu Yanga, walipeleka kesi mahakamani

Aliyeshitak ni Mkude siyo Yanga
Mwanasheria wa Yanga hawezi kufanya kazi za Mkude
Mkude aliweka mwanasheria wake
Acha kuwa mbumbumbu
Mbumbumbu kama baba yako anayeliwa kiboga na P.Diddy
 
We hujui Simba ndo walitangaza kumwachia mapema kabisa
Ina maana kumwachia walivunja mkataba
Yeye akapata timu nyingine
Au ulitaka acheze Simba iliyotangaza kumtema
Basi aliingia kwenye mtego. Mkataba wa maandishi unavunjwa kwa maandishi, sio kwa kusikia kauli ya mtu mmoja mmoja. Alitakiwa aombe barua ya kuachwa. Kama hakuwa na barua, mkataba bado ulikuwa hai. Kwani hukumbuki ilibidi Yanga wasubiri hadi tarehe 1 Agosti kumtangaza Chama?
 
Mwanasheria aliyetayarisha mkataba wa Kagoma huku Yanga ikiwa seller na Singida Fountain ikiwa buyer bado mnamjadili?
Taasisi inayowakilishwa na mwanasheria kama huyo ni taasisi ya kihuni na inaendeshwa kihuni na kirafiki kwenye kitengo cha sheria.
 
Katambulishwa Yanga tar 12 Julai...
Mkataba wake na Simba umeisha tar 30 Julai...

Mchezaji huweza kutambulishwa ndani ya mkataba na timu nyingine?

Au alikuwa na pre-contract kwa mujibu wa sheria ya Bosman?
Ndio iwapo kuna muda kama inaruhusiwa hata kama hajamaliza makataba chukulia mfano kwa mbappe ilivyokuwa alishakubaliana na madrid kabla ya siku za mwisho za mkataba wake.
 
Back
Top Bottom