Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana ndugu. Hiyo inaweza kuwa acid reflux (kiungulia) lkn pia heart attack huleta dalili km hizo. Jaribu kutumia za kiungulia inaweza kuwa ph ya tumbo imekuwa disturbed.
Tumia aloe vera gel na fields of green! Zina msaada sana
Mwezi wa saba sasa nahangaika sijapata suluhu...napata kiungulia kama moto unawaka kifuani...jamani msaada ndugu zangu...nimetumia dawa za vidonda vya tumbo lakini za kienyeji na hospitali nimeenda lakini bado...
DAWA YA MARADHI YA KIUNGULIA :
TIBA :
Changanya glasi moja (250ml) ya maziwa na kijiko kikubwa 10ml) cha mafuta ya haba soda.
Kunywa mchanganyiko huu na urudie kutwa mara tatu (1×3) kwa muda wa siku 5.
![]()
MAFUTA YA HABBAT SAWDA Black Seed oil.
Mkuu kijewa hayo Mafuta ya Habbat sawda yanapatikana kwenye maduka ya wanayouza dawa za kisunna kama upo hapo mjini Dar nenda sokoni kariakoo kaulize maduka ya dawa za kisunna utapata hayo mafuta.Mkuu haya mafuta yanapatikana wapi maana tatizo la kiungulia tunalo wengi!!!!
Dawa ya Kichefuchefu chemsha Tangawizi unywe chai yake kabla ya kula kitu asubuhi na jioni au waweza kunyw akutwa mara 3 utapona hicho kichefuchefu umeshamtia mtu mimba nini? Mkuu kbo au wewe ni mtu mke?Mkuu na hiki kichefuchefu cha asubuhi ndio balaa ..yaan mara tu baada ya kuamka napata kichefuchefu kikali na kutapika
Mkuu kijewa hayo Mafuta ya Habbat sawda yanapatikana kwenye maduka ya wanayouza dawa za kisunna kama upo hapo mjini Dar nenda sokoni kariakoo kaulize maduka ya dawa za kisunna utapata hayo mafuta.
Dawa ya Kichefuchefu chemsha Tangawizi unywe chai yake kabla ya kula kitu asubuhi na jioni au waweza kunyw akutwa mara 3 utapona hicho kichefuchefu umeshamtia mtu mimba nini? Mkuu kbo au wewe ni mtu mke?
Mkeo ni mjamzito?
Mkuu kijewa hayo Mafuta ya Habbat sawda yanapatikana kwenye maduka ya wanayouza dawa za kisunna kama upo hapo mjini Dar nenda sokoni kariakoo kaulize maduka ya dawa za kisunna utapata hayo mafuta.
Dawa ya Kichefuchefu chemsha Tangawizi unywe chai yake kabla ya kula kitu asubuhi na jioni au waweza kunyw akutwa mara 3 utapona hicho kichefuchefu umeshamtia mtu mimba nini? Mkuu kbo au wewe ni mtu mke?
Sijaoa
Mkeo ni mjamzito?