shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,367
naombeni msaada nina maumivu makali ya kiuno siwezi hata kuinama yameanza ghafla tu nimechua nimemeza anti pain ibrofen but haisaidii nashindwa hata kulala nifanyeje dr MziziMkavu nisaidie tafadhali
na wengine pia mnaojua hili tatizo nisaidieni tafadhali
na wengine pia mnaojua hili tatizo nisaidieni tafadhali
Last edited by a moderator: