Kiuno kinauma sana.

Kiuno kinauma sana.

Habari wana jf. kama nilivyoainixha hapo juu, kiukweli naumwa sana na kiuno yaani nikijikunja kidogo kama nataka kuangukia nyuma napata maumivu makali sana. kuna cku kiliuma mpaka nikaomba niwekewe kitu kizito kiunoni huku nimelala toka ck hy ndo mpaka leo bdo kinauma.
MSAADA TAFADHALI.
Muone dakitar;tiba mbadala kula kitunguu swaum japo *2 kwa siku(asubuh mbegu kumi na jioni mbegu kumi)unaweza kutwanga au katakata kisha sukumia kwa maj
 
mimi nikifanya mazoezi ya kukimbia kidogo kiuno kinauma hatari. lakini nikitulia/nikipumzika kidogo hali inatulia
 
Muone dakitar;tiba mbadala kula kitunguu swaum japo *2 kwa siku(asubuh mbegu kumi na jioni mbegu kumi)unaweza kutwanga au katakata kisha sukumia kwa maj
Kitunguu mbegu kumi?? Awe anaijua afya yake vizuri!
 
Back
Top Bottom