Kiutamaduni ndani ya CCM, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa ana nafasi kubwa ya kumrithi Kinana

Kiutamaduni ndani ya CCM, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa ana nafasi kubwa ya kumrithi Kinana

Ingawa mimi si mwana-CCM au mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania, tangu utoto wangu nimekuwa nikifutilia siasa. Nikiwa na zaidi ya miaka 40 hapa duniani, nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa siasa na pia kushiriki kwenye chaguzi, kuanzia ule wa mwaka 1995.

Wengi sasa tunajua kuwa Ndugu Abdulrahman Kinana amewasilisha ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na imeripotiwa kuwa Rais Samia ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa ameridhia ombi hilo la kujiuzulu kwa Kinana.

Ni wazi kuwa mchakato wa kumpata mrithi wa Kinana umeshaanza. Wapo wanachama wengi waandamizi ndani ya CCM ambao wanatajwa kumrithi Kinana. Kwangu mimi, kulingana na 'utamaduni' wa CCM ambao nimeushuhudia, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa ana nafasi kubwa kushika nafasi hiyo.

Pamoja na kuwa Dkt. Bashiru ni mzoefu kisiasa na kiuchaguzi, anayo sifa kuu ya nafasi hiyo ndani ya CCM: kuwahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Kuanzia kwa Mzee Msekwa, Mangula na Kinana, wote waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM na baadaye kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM-Taifa. Sina maana kuwa Dkt. Bashiru ndiye Katibu Mkuu wa CCM pekee wa zamani aliyepo.

Mzee Mukama na Mzee Makamba wapo. Kwa umri wao, ni rahisi kujenga hoja kwamba wanahitaji kupumzika siasa za moja kwa moja majukwaani kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa mwakani. Lakini, Dkt. Bashiru bado ana nguvu za kutosha kukitumikia chama chake. Ana uzoefu wa siasa za majukwaani na za kiuchaguzi.

Kimsingi, namuona Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kama a leading candidate kwenye kumrithi Ndugu Kinana. Kuwahi kushika nafasi ya juu ndani ya CCM-MFANO Katibu Mkuu ni added advantage. Ni mawazo yangu huru tu.
Huyu huyu ambaye alisimama kidete kuhakikisha kuwa Samia haapishwi kuwa Rais?
 
Ubunge , Umri na dini vinashida,
Mkiti Zanzibar Islamic
Mkiti Taifa Islamic
Mkiti bara tena awe Islamic patakuwa na dosari hapo.

Sipingi íla nachangia tu kuboresha,
Sijui kama umenielewa vema
Futa hii. Inakushusha hazi sana. Tunatakiwa tutoke huku.

Magufuli na Magula walikuwa wakristo wote.
 
Ingawa mimi si mwana-CCM au mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania, tangu utoto wangu nimekuwa nikifutilia siasa. Nikiwa na zaidi ya miaka 40 hapa duniani, nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa siasa na pia kushiriki kwenye chaguzi, kuanzia ule wa mwaka 1995.

Wengi sasa tunajua kuwa Ndugu Abdulrahman Kinana amewasilisha ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na imeripotiwa kuwa Rais Samia ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa ameridhia ombi hilo la kujiuzulu kwa Kinana.

Ni wazi kuwa mchakato wa kumpata mrithi wa Kinana umeshaanza. Wapo wanachama wengi waandamizi ndani ya CCM ambao wanatajwa kumrithi Kinana. Kwangu mimi, kulingana na 'utamaduni' wa CCM ambao nimeushuhudia, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa ana nafasi kubwa kushika nafasi hiyo.

Pamoja na kuwa Dkt. Bashiru ni mzoefu kisiasa na kiuchaguzi, anayo sifa kuu ya nafasi hiyo ndani ya CCM: kuwahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Kuanzia kwa Mzee Msekwa, Mangula na Kinana, wote waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM na baadaye kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM-Taifa. Sina maana kuwa Dkt. Bashiru ndiye Katibu Mkuu wa CCM pekee wa zamani aliyepo.

Mzee Mukama na Mzee Makamba wapo. Kwa umri wao, ni rahisi kujenga hoja kwamba wanahitaji kupumzika siasa za moja kwa moja majukwaani kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa mwakani. Lakini, Dkt. Bashiru bado ana nguvu za kutosha kukitumikia chama chake. Ana uzoefu wa siasa za majukwaani na za kiuchaguzi.

Kimsingi, namuona Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kama a leading candidate kwenye kumrithi Ndugu Kinana. Kuwahi kushika nafasi ya juu ndani ya CCM-MFANO Katibu Mkuu ni added advantage. Ni mawazo yangu huru tu.
Yule hafai kabisa. Tutaanza kuona mizoga ya watu baharini tena. Yule kuua haoni shida
 
Ingawa mimi si mwana-CCM au mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania, tangu utoto wangu nimekuwa nikifutilia siasa. Nikiwa na zaidi ya miaka 40 hapa duniani, nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa siasa na pia kushiriki kwenye chaguzi, kuanzia ule wa mwaka 1995.

Wengi sasa tunajua kuwa Ndugu Abdulrahman Kinana amewasilisha ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na imeripotiwa kuwa Rais Samia ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa ameridhia ombi hilo la kujiuzulu kwa Kinana.

Ni wazi kuwa mchakato wa kumpata mrithi wa Kinana umeshaanza. Wapo wanachama wengi waandamizi ndani ya CCM ambao wanatajwa kumrithi Kinana. Kwangu mimi, kulingana na 'utamaduni' wa CCM ambao nimeushuhudia, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa ana nafasi kubwa kushika nafasi hiyo.

Pamoja na kuwa Dkt. Bashiru ni mzoefu kisiasa na kiuchaguzi, anayo sifa kuu ya nafasi hiyo ndani ya CCM: kuwahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Kuanzia kwa Mzee Msekwa, Mangula na Kinana, wote waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM na baadaye kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM-Taifa. Sina maana kuwa Dkt. Bashiru ndiye Katibu Mkuu wa CCM pekee wa zamani aliyepo.

Mzee Mukama na Mzee Makamba wapo. Kwa umri wao, ni rahisi kujenga hoja kwamba wanahitaji kupumzika siasa za moja kwa moja majukwaani kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa mwakani. Lakini, Dkt. Bashiru bado ana nguvu za kutosha kukitumikia chama chake. Ana uzoefu wa siasa za majukwaani na za kiuchaguzi.

Kimsingi, namuona Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kama a leading candidate kwenye kumrithi Ndugu Kinana. Kuwahi kushika nafasi ya juu ndani ya CCM-MFANO Katibu Mkuu ni added advantage. Ni mawazo yangu huru tu.
Mkuu huyo alisha sema cheo chake alicho kuwa nacho cha Katibu Mkuu wa Chama kina mtosha na hatakubali cheo chochote tena, sasa vipi! ametengua usemi wake?
 
Ingawa mimi si mwana-CCM au mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania, tangu utoto wangu nimekuwa nikifutilia siasa. Nikiwa na zaidi ya miaka 40 hapa duniani, nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa siasa na pia kushiriki kwenye chaguzi, kuanzia ule wa mwaka 1995.

Wengi sasa tunajua kuwa Ndugu Abdulrahman Kinana amewasilisha ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na imeripotiwa kuwa Rais Samia ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa ameridhia ombi hilo la kujiuzulu kwa Kinana.

Ni wazi kuwa mchakato wa kumpata mrithi wa Kinana umeshaanza. Wapo wanachama wengi waandamizi ndani ya CCM ambao wanatajwa kumrithi Kinana. Kwangu mimi, kulingana na 'utamaduni' wa CCM ambao nimeushuhudia, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa ana nafasi kubwa kushika nafasi hiyo.

Pamoja na kuwa Dkt. Bashiru ni mzoefu kisiasa na kiuchaguzi, anayo sifa kuu ya nafasi hiyo ndani ya CCM: kuwahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Kuanzia kwa Mzee Msekwa, Mangula na Kinana, wote waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM na baadaye kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM-Taifa. Sina maana kuwa Dkt. Bashiru ndiye Katibu Mkuu wa CCM pekee wa zamani aliyepo.

Mzee Mukama na Mzee Makamba wapo. Kwa umri wao, ni rahisi kujenga hoja kwamba wanahitaji kupumzika siasa za moja kwa moja majukwaani kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa mwakani. Lakini, Dkt. Bashiru bado ana nguvu za kutosha kukitumikia chama chake. Ana uzoefu wa siasa za majukwaani na za kiuchaguzi.

Kimsingi, namuona Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kama a leading candidate kwenye kumrithi Ndugu Kinana. Kuwahi kushika nafasi ya juu ndani ya CCM-MFANO Katibu Mkuu ni added advantage. Ni mawazo yangu huru tu.
Hawa raia wa Burundi wanaojifanya Watanzania, kuna nafasi ambazo hawastahili kufika. Nadhani Bashiru Ally hivyo alivyovifikia kupitia Magufuli ndiyo vya mwisho.

Kama hunielewi, rejea kauli ya CDF aliyotoa Januari kwa Rais Samia.

Screenshot_20240731_165230_Chrome.jpg
 
Ingawa mimi si mwana-CCM au mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania, tangu utoto wangu nimekuwa nikifutilia siasa. Nikiwa na zaidi ya miaka 40 hapa duniani, nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa siasa na pia kushiriki kwenye chaguzi, kuanzia ule wa mwaka 1995.

Wengi sasa tunajua kuwa Ndugu Abdulrahman Kinana amewasilisha ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na imeripotiwa kuwa Rais Samia ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa ameridhia ombi hilo la kujiuzulu kwa Kinana.

Ni wazi kuwa mchakato wa kumpata mrithi wa Kinana umeshaanza. Wapo wanachama wengi waandamizi ndani ya CCM ambao wanatajwa kumrithi Kinana. Kwangu mimi, kulingana na 'utamaduni' wa CCM ambao nimeushuhudia, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa ana nafasi kubwa kushika nafasi hiyo.

Pamoja na kuwa Dkt. Bashiru ni mzoefu kisiasa na kiuchaguzi, anayo sifa kuu ya nafasi hiyo ndani ya CCM: kuwahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Kuanzia kwa Mzee Msekwa, Mangula na Kinana, wote waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM na baadaye kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM-Taifa. Sina maana kuwa Dkt. Bashiru ndiye Katibu Mkuu wa CCM pekee wa zamani aliyepo.

Mzee Mukama na Mzee Makamba wapo. Kwa umri wao, ni rahisi kujenga hoja kwamba wanahitaji kupumzika siasa za moja kwa moja majukwaani kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa mwakani. Lakini, Dkt. Bashiru bado ana nguvu za kutosha kukitumikia chama chake. Ana uzoefu wa siasa za majukwaani na za kiuchaguzi.

Kimsingi, namuona Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kama a leading candidate kwenye kumrithi Ndugu Kinana. Kuwahi kushika nafasi ya juu ndani ya CCM-MFANO Katibu Mkuu ni added advantage. Ni mawazo yangu huru tu.
Impossible kwa sababu ya lile tukio la mwanzoni kabisa kwamba watu walitaka kupindua Meza !

Kwa mintarafu hiyo sio rahisi kumwani tena kwa post hiyo. !
Ni mawazo yangu tu lakini. 😳👍
 
hilo kundi halikwepeki.
subiri kidogo tu utaelewa
Kuondoa mpasuko au kusaidia kusukuma kete za kurudi kitini na kukata mizizi ya MG? Kwangu Mimi Mizengo Pinda anastahili ili ku neutralize mambo uku DS wakimaliza ile kazi maalum kimya kimya.
 
Kakurwa awe Makamu Mwenyekiti chini ya sa100, itakuwa maajabu.
 
Ubunge , Umri na dini vinashida,
Mkiti Zanzibar Islamic
Mkiti Taifa Islamic
Mkiti bara tena awe Islamic patakuwa na dosari hapo.

Sipingi íla nachangia tu kuboresha,
Sijui kama umenielewa vema
Ina maana Kanali Mstaafu kwa Heshima Mzee Kinana alikuwa ROMAN CATHOLIC ndio akawa Makambi Mwenyekiti? Basi sawa. TIMEELEWA!!
 
Back
Top Bottom