Kiutamaduni ndani ya CCM, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa ana nafasi kubwa ya kumrithi Kinana

Huyu huyu ambaye alisimama kidete kuhakikisha kuwa Samia haapishwi kuwa Rais?
 
Ubunge , Umri na dini vinashida,
Mkiti Zanzibar Islamic
Mkiti Taifa Islamic
Mkiti bara tena awe Islamic patakuwa na dosari hapo.

Sipingi íla nachangia tu kuboresha,
Sijui kama umenielewa vema
Futa hii. Inakushusha hazi sana. Tunatakiwa tutoke huku.

Magufuli na Magula walikuwa wakristo wote.
 
Yule hafai kabisa. Tutaanza kuona mizoga ya watu baharini tena. Yule kuua haoni shida
 
Mkuu huyo alisha sema cheo chake alicho kuwa nacho cha Katibu Mkuu wa Chama kina mtosha na hatakubali cheo chochote tena, sasa vipi! ametengua usemi wake?
 
Hawa raia wa Burundi wanaojifanya Watanzania, kuna nafasi ambazo hawastahili kufika. Nadhani Bashiru Ally hivyo alivyovifikia kupitia Magufuli ndiyo vya mwisho.

Kama hunielewi, rejea kauli ya CDF aliyotoa Januari kwa Rais Samia.

 
Impossible kwa sababu ya lile tukio la mwanzoni kabisa kwamba watu walitaka kupindua Meza !

Kwa mintarafu hiyo sio rahisi kumwani tena kwa post hiyo. !
Ni mawazo yangu tu lakini. 😳👍
 
hilo kundi halikwepeki.
subiri kidogo tu utaelewa
Kuondoa mpasuko au kusaidia kusukuma kete za kurudi kitini na kukata mizizi ya MG? Kwangu Mimi Mizengo Pinda anastahili ili ku neutralize mambo uku DS wakimaliza ile kazi maalum kimya kimya.
 
Kakurwa awe Makamu Mwenyekiti chini ya sa100, itakuwa maajabu.
 
Ubunge , Umri na dini vinashida,
Mkiti Zanzibar Islamic
Mkiti Taifa Islamic
Mkiti bara tena awe Islamic patakuwa na dosari hapo.

Sipingi íla nachangia tu kuboresha,
Sijui kama umenielewa vema
Ina maana Kanali Mstaafu kwa Heshima Mzee Kinana alikuwa ROMAN CATHOLIC ndio akawa Makambi Mwenyekiti? Basi sawa. TIMEELEWA!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…