Kivuko Cha Magogoni Feri

Kivuko Cha Magogoni Feri

Shida mtu akipata kazi serikalini anaona uchochoro wa utajiri,

Hata kama ni certificate holder Tu,


The best way, ni serikali kufanya kazi na sekta binafsi, serikali iwe shareholder wa 30-45% the rest mtu binafsi anakomaa nayo,

Serikali inakuwa na veto power kwenye management, ila utekelezaji unabaki kwa mtu binafsi

Hapo ndipo mambo yatakwenda
 
Serikali imeshindwa kuendesha kivuko Cha Magogoni Ferry,
Azam amewekeza ktk usafiri wa maji, Sasa hivi ndo anatoa huduma/ Biashara ya akuvusha watu pale ferry, kwa Uwakika kabisa. Na watu Wengi wanaona Bora wapande kivuko cha Azam kuliko cha Serikali.
Kivuko kilichopo, kitakufa kama vilivyokufa vingine, Swali la kujiuliza inamaana Azam ni borq sana kwenye utendaji kazi kuliko Serikali.
Inamaana Serikali inazidiwa na mtu Binafsi.
Vivuko vyote vimekufa, Je, huu ni mtazamo wangu, au Kuna watu wamehusika kukihujumu kivuko vife/ viwe vibovu vishindwe kufanya kazi.
Ninachoona kwa mtazamo wangu kivuko kilichopo ni kibovu, nacho kinaenda kwa kusua sua nacho kitakufa.
Baada ya vivuko vyote Kufa, Azam anabudi kupewa kivuko kuendesha, maana na Tafsiri yake Watu wanapewa Dhamana ktk shughuri za Serikali sio waaminifu na sio wazalendo ingawa wanahubiri uzalendo.
Ugumu wa kuwa mzalendo katika dimbwi la umaskini ni sawa kabisa na ugumu wa kudinda ukiwa na njaa zilizochanganyika n stres
 
walau sasa nafuu. tumeshashasahau kuchelewa. mungu ibarik e sae tax
 
Mara nyingi mali ya Uma, utunzaji wake watendaji wala hawatilii maanani. Unaweza Kuta ni kifaa kidogo tu kinahitajika kwa ajili ya marekebisho. Lakini kutakuwa na konakona kibao mara huyu mara yule mara tusubiri mtiaji saini mkuu kasafiri. Mwisho wa siku kifaa kinaendelea kuoza na kusababisha gharama kubwa zaidi ya ilivyokuwa mwanzo.
 
Nilipachukia kigamboni kwasababu ya ULE UPUMBAVU WA PALE AISSEE.
Watu wa kigamboni ni wavumilivu wa hali ya juu.

Bila daraja siendi kigamboni.
Mala mia nipite Darajani
 
Serikali imeshindwa kuendesha kivuko Cha Magogoni Ferry,
Azam amewekeza ktk usafiri wa maji, Sasa hivi ndo anatoa huduma/ Biashara ya akuvusha watu pale ferry, kwa Uhakika kabisa. Na watu Wengi wanaona Bora wapande kivuko cha Azam kuliko cha Serikali.

Kivuko kilichopo, kitakufa kama vilivyokufa vingine, Swali la kujiuliza inamaana Azam ni bora sana kwenye utendaji kazi kuliko Serikali.
Ina maana Serikali inazidiwa na mtu Binafsi.

Vivuko vyote vimekufa, Je, huu ni mtazamo wangu, au Kuna watu wamehusika kukihujumu kivuko vife/ viwe vibovu vishindwe kufanya kazi.

Ninachoona kwa mtazamo wangu kivuko kilichopo ni kibovu, nacho kinaenda kwa kusua sua nacho kitakufa.

Baada ya vivuko vyote Kufa, Azam anabudi kupewa kivuko kuendesha, maana na Tafsiri yake Watu wanapewa Dhamana ktk shughuri za Serikali sio waaminifu na sio wazalendo ingawa wanahubiri uzalendo.
Serikalini hakuna OWNERSHIP..!!!
Angalia TTCL, ATCL, VIVUKO etc. Lakini hayo hayo yakifanywa na private sector yananyooka, mfano akina VODA, AIRTEL, YASS etc, Precisonair, boat za za Zenji etc..!! NA MBAYA ZAIDI, SERIKALI HUISHIA KUWEKA MAMBO MAGUMU KWA PRIVATE SECTOR ILI WASHINDWE. Unaikumbuka NAFUUU NAFUUU NAFUUU..!? Precisionair wenyewe walichimbwa mkwala kupeleka ndege KIgoma siku fulani ya wiki, wakabadili
 
Utendaji na ufuatiliaji kwenye miradi ya serikali ni tofauti kabisa na miradi binafsi na ndio changamoto kubwa ya maanguko ya miradi mingi ya gvt.
 
Back
Top Bottom