A
Tuwaacheni watanzania wenzetu wale kwa urefu wa kamba walizonazo. Zamu zetu na sisi zikikifika mwendo uleuleHata mwendo kasi.
maisha hayana short cut.ipo siku utadakwaTuwaacheni watanzania wenzetu wale kwa urefu wa kamba walizonazo. Zamu zetu na sisi zikikifika mwendo uleule
Na pale stand ya msamvu morogoro pamulikweTEMESA Pangani hawa-scan tiketi, askari anazikusanya tu! Kuna harufu ya upigaji! Nilipita asubuhi nilivyorudi jioni ticket niliyopewa ilikuwa inaonyesha imekatwa saa moja asubuhi! kuna mazingira ya ticket moja kutumika zaidi ya mara moja!