DOKEZO Kivuko cha Pangani kuna mazingira ya tiketi moja kutumika zaidi ya mara moja

DOKEZO Kivuko cha Pangani kuna mazingira ya tiketi moja kutumika zaidi ya mara moja

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
TEMESA Pangani hawa-scan tiketi, askari anazikusanya tu! Kuna harufu ya upigaji! Nilipita asubuhi nilivyorudi jioni ticket niliyopewa ilikuwa inaonyesha imekatwa saa moja asubuhi! kuna mazingira ya ticket moja kutumika zaidi ya mara moja!

IMG_5593.jpeg
 
Hicho kivuko ni cha kihuni na kina wezi tu.
Nilipita hapo mara ladhaa niliona wanacheza na kula pesa za bure.
 
TEMESA Pangani hawa-scan tiketi, askari anazikusanya tu! Kuna harufu ya upigaji! Nilipita asubuhi nilivyorudi jioni ticket niliyopewa ilikuwa inaonyesha imekatwa saa moja asubuhi! kuna mazingira ya ticket moja kutumika zaidi ya mara moja!

Na pale stand ya msamvu morogoro pamulikwe
 
Wiki ijayo napita hapo, naenda kumwaga mboga, Wazalendo tumebaki wachache.
 
Kwanini lisijengwe Daraja ili Wananchi wawe wanapita bure na Magari yalipe Toll kidogo?

Daraja halihitaji Dizeli kuliendesha.
 
Back
Top Bottom