Salum Fumo
Member
- Jan 3, 2018
- 14
- 4
Kabla ya kijazi interchange eneo hili lilikuwa linaruhusu wananchi (wanafunzi/wakazi/watembezi na sisi wazururaji) kuvuka kutoka upande mmoja hadi mwingine bila shida. Ila baada ya kuwekwa flyover uwezo huo umeondoshwa na option iliyokuwepo kwa watu hap ni ya hatari sana.
Nafahamu kuondoa wavu uliowekwa na kuruhusu wananchi kuvuka ni hatari kwasababu barabara zote (inayoshuka na inayopandisha) huwa vyombo vinavyopita vinatembea kasi sana. Lakini mbadala tunaotumia wananchi kwasasa ni hatarishi zaidi.
Siwezi sema mengi ila hapa kunahitaji kivuko cha juu kama utaona hakuna umuhimu wewe nenda katoke upande wa mawasiliano vuka hapo kwenda upande wa chuo.
(Tusisubiri mpaka watu wafe hapo ndo tuje kuaddress hatari iliyopo. Hata tukiwekewa daraja la juu kama lile la Buguruni litasaidia sana.)
Nafahamu kuondoa wavu uliowekwa na kuruhusu wananchi kuvuka ni hatari kwasababu barabara zote (inayoshuka na inayopandisha) huwa vyombo vinavyopita vinatembea kasi sana. Lakini mbadala tunaotumia wananchi kwasasa ni hatarishi zaidi.
Siwezi sema mengi ila hapa kunahitaji kivuko cha juu kama utaona hakuna umuhimu wewe nenda katoke upande wa mawasiliano vuka hapo kwenda upande wa chuo.
(Tusisubiri mpaka watu wafe hapo ndo tuje kuaddress hatari iliyopo. Hata tukiwekewa daraja la juu kama lile la Buguruni litasaidia sana.)