KERO Kivuko cha watembea kwa miguu 🚸 eneo la Njia panda ya chuo UDSM

KERO Kivuko cha watembea kwa miguu 🚸 eneo la Njia panda ya chuo UDSM

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Option iliopo pale ni kupitia kwenye zebra pale pale Ubungo.
Pale manzese, Buguruni na Kawe bondeni kuna madaraja ya juu na bado kuna wadau wanakatiza chini.
 
Kabla ya kijazi interchange eneo hili lilikuwa linaruhusu wananchi (wanafunzi/wakazi/watembezi na sisi wazururaji) kuvuka kutoka upande mmoja hadi mwingine bila shida. Ila baada ya kuwekwa flyover uwezo huo umeondoshwa na option iliyokuwepo kwa watu hap ni ya hatari sana.

View attachment 3129536
Nafahamu kuondoa wavu uliowekwa na kuruhusu wananchi kuvuka ni hatari kwasababu barabara zote (inayoshuka na inayopandisha) huwa vyombo vinavyopita vinatembea kasi sana. Lakini mbadala tunaotumia wananchi kwasasa ni hatarishi zaidi.

Siwezi sema mengi ila hapa kunahitaji kivuko cha juu kama utaona hakuna umuhimu wewe nenda katoke upande wa mawasiliano vuka hapo kwenda upande wa chuo.

(Tusisubiri mpaka watu wafe hapo ndo tuje kuaddress hatari iliyopo. Hata tukiwekewa daraja la juu kama lile la Buguruni litasaidia sana.)

View attachment 3129535

Nadhani Tanroad inawwza kuwa ni sector inayoongoza kuzarau waenda kwa miguu kwa afrika mashariki yote.

Barabara zote sehemu za kuvukia waenda kwa miguu ni buguruni labda na pale bondeni kabla ya tangibovu.lakini angalia barabara hizi zote mpya za mwendokasi zinazojengwa hakuna.Morogoro road,Msimbazi road,Nyerere road,old bagamoyo roas maeneo ya mwenge,alhasani mwinyi roas,kawawa,kilwa road,nyerere pamoja pugu roads.barabara hizi zote zina maeneo mengi sana watu wanavuka kwa kurisk.
nilidhani designers wanamisi social lens.hata hizo Social and enverment impact assesment wanafanyaga kwa ajili mostly ya kutick boxes.

Linafanyika jambo jema ambalo ndani yake siyo inclusive,waendesha vyombo vya moto wamafaidi watembea kwa miguu wanakuwa stressed.
Mwingine naona asema si wavukie kwemye taa,kajaribu wewe uone
 
Nadhani traffic waanze kuwalamba faini na watembea kwa miguu. Yaani mtu anajua kivuko kilipo halafu anakuja kulazimisha upumbavu wa kuvuka sehemu isiyo salama kwa sababu za kijinga mno??!!!!... hizo hela za kujenga hicho kivuko zielekezwe sehemu zingine za nchi zisizo hata na barabara nzuri za changarawe.
 
Back
Top Bottom