Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Nimeona Tangazo la Kivuko.com pale kwa michuzi nikafurahishwa sana nikidhani kuwa hiyo inaweza kuwa njia bora ya watanzania kuachana na bidhaa feki wanazoletewa kutoka China kila kukicha. Kama kuna mtu aliyewahi kununua hapo Kivuko.com ninaomba anisaidie experience yake kabla sijajiingiza kichwa kichwa.
Jambo moja limenisitua kidogo ni kuwa bei zake ziko inflated sana, kwa mfano bei ya TV aina ya Panasonic - VIERA / 50" Class / 1080p / 600Hz / Plasma HDTV, wao wanaiuza katika dolari za kimarekani 1883 kama invyoonkena hapa chini kabla ya kodi na usafiri, lakini TV hiyo hiyo ninaweza kuipata Best Buy kwa dolari za kimarekani 999.99 kabla ya kodi na usafiri kama inavyoonekana hapa chini.

Inawezekana tofauti hizi za bei zikatokana na factors mbalimbali, lakini nadhani tofauti ya karibu mara mbili ni kubwa mno; je mliowahi kuitumia service hii mna uzoefu wa namna gani?
Jambo moja limenisitua kidogo ni kuwa bei zake ziko inflated sana, kwa mfano bei ya TV aina ya Panasonic - VIERA / 50" Class / 1080p / 600Hz / Plasma HDTV, wao wanaiuza katika dolari za kimarekani 1883 kama invyoonkena hapa chini kabla ya kodi na usafiri, lakini TV hiyo hiyo ninaweza kuipata Best Buy kwa dolari za kimarekani 999.99 kabla ya kodi na usafiri kama inavyoonekana hapa chini.

Inawezekana tofauti hizi za bei zikatokana na factors mbalimbali, lakini nadhani tofauti ya karibu mara mbili ni kubwa mno; je mliowahi kuitumia service hii mna uzoefu wa namna gani?