Kivuli cha Mazembe ya zamani ndani ya Yanga hii ya GSM

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Kabla ya yote acha kwanza nitumie neno ili la kifaransa ambao moise katumbi alipenda kutumia kwa mazembe Yake

L’Imposible ce n’est pas à young africa

Young africa tous puisant

Na kuambia ivi ubingwa wa shirikisho tunachukuwa.

Vipande vishuke mwaka huu ubingwa washirikisho tunachukuwa

Yanga ya sasa ndo photo copy ya mazembe ya zamani

Mwakani tunaenda kuchukuwa tena ubingwa wa afrika na kufika final ya club world cup mwakani.

Kama alivyo fanya mazembe 2010
 
Mwakani huko Shirikisho mnapangwa na Raja, Horoya na Rivers. CAF wataendelea kuwapa hao Rivers hadi tujue mbabe ni nani kati yenu.
 
Mmeanza kuwehuka!
 
Wameiba mpaka wimbo wa mazembe wa " KIVUMBI NA JASHO" halafu eti wanasema wimbo wao wa Taifa
 
WANANCHIIIIIII LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUONESHA ULIMWENGU KWAMBA YANGA INA UKUBWA KIASI GANI.MAKOLO
WAMEJARIBU KUIKUZA MARUMO KWA KILA NAMNA ILA LEO TUTAENDA KUWAONESHA YANGA NI NANI.
EWE MWANANCHI TEMBEA KIFUA MBELE KWANI LEO NDIO TUNAENDA KUINGIA FAINALI RASMI.
LEO MADUNDUKA YATALILIA CHOONI.
 
Habari ziwafikie makolo wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…