Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 283
Niko hapa Chimwaga,
Nimejumuika na wanafunzi wa Kiswahili wanaigiza hiki kitabu...
Nimejifunza mengi nikilinganisha na siasa za Tanzania!!
Umekisoma hiki kitabu?!!
Kuna kitu chochote umejifunza??
Nimejumuika na wanafunzi wa Kiswahili wanaigiza hiki kitabu...
Nimejifunza mengi nikilinganisha na siasa za Tanzania!!
Umekisoma hiki kitabu?!!
Kuna kitu chochote umejifunza??