Kivumbi cup ya Wasafi media

Kivumbi cup ya Wasafi media

mimi sijaona hio tofauti naomba unipe tofauti hio

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti yake ni mpunga na namna ya uwendeshwaji wake.Mshindi wa kivumbi cup anapata mil 20 ukiachana na hilo, man of the match anapata laki 5, kiungo Bora anapata laki 5, kipa Bora anapata laki 5, kiungo Bora anapata laki 5 na mchambuliaji Bora anapata laki 5 hapo tu unaona utofauti teyali.Lengo la wasafi ukiachana na kukupa platform ya kuonekana live cos haya mashindano yanarushwa live pia unapata fursa ya kuongeza kipato Mfano Kama kijana atakuwa man of the match Mara 4 atapata mil 2 teyali kijana umasikini atakuwa ameuaga Kama atatumia vizuri hiyo hela lakini pia watapatikana vijana wenye vipaji vikubwa kwenye hiyo michuano wasafi watawachukua kuwatafutia team za nje ya nchi ila vijana hao wawe tu na umri chini ya miaka 18.
 
Imagine kuna dogo kitaa anatamani sana kupitia hii fursa atoboe halafu wewe unaleta hates ambazo hazina msingi wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Me mwenyewe nimeshangaa msela hiyo ndio platform wa vijana kuonekana na kupata kipato we fikiria wasafi wametoa fursa atakwawanaoibuka man of the match, wamesema ataeibuka man of the match atapata laki 5 hapo ujazungumzia beki Bora, kiungo Bora, mchambuliaji Bora,kipa bora.kwa maana Hiyo wametoa fursa pana kupata mpunga Mfano ukiibuka man of the match Mara 2 tu unapata mil 1 hiyo ni hela kubwa Sana.
 
Wasafi Media ni Clone ya Clouds FM.

Wanaiga Kila Kitu. Takataka Kabisa
Tatizo siku zote ni fikra za watu, waasisi wa mashindano ya mpira wa miguu mitaani si Clouds wala Wala Wasafi.

Kila mtu ana nafasi ya kufanya anachoweza kikubwa ubora tu, ni ujinga kufikiri flani anafanya sababu kaiga kwa flani ni upumbavu zaidi kuamini flani hapaswi kufanya ati kwakuwa mwingine anafanya.
 
Ndondo cups zipo kitambo na hata wabunge wengi na wanasiasa walizitumia kama danganya toto so Clouds sio wa kwanza. Alaf kwa mpenda mpira hawezi bana pua eti ooh wamecopy vijana wanahitaji vitu kama vingi tu ili waonekane
 
Clouds Tv ilipoanza vipindi vingi ilikopi EATV, Redio wasafi ilipoanza walikopi muda wa vipindi vya michezo kutoka EFM. Sasa wamekopi ndondo cup ya Clouds na kuiita Kivumbi cup halafu we unasema wazo kapata kwa Eto'o? Ahahaha. Ubunifu zero!
Ndondo cup iko miaka mingi sana mkuu, clouds wameibeba tu , ila iko kitambo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo siku zote ni fikra za watu, waasisi wa mashindano ya mpira wa miguu mitaani si Clouds wala Wala Wasafi.

Kila mtu ana nafasi ya kufanya anachoweza kikubwa ubora tu, ni ujinga kufikiri flani anafanya sababu kaiga kwa flani ni upumbavu zaidi kuamini flani hapaswi kufanya ati kwakuwa mwingine anafanya.
Takataka
 
Nlitarajia unipe tofauti ya kimuundo na uendeshaji kati ya kivumbi na ndondo cup kitu ambacho huja fanya, swala la zawadi ni kitu cha ku adjust tu sio big deal na lengo la tournament hua sio zawadi ni platform watu waonenyeshe vipaji
Tofauti yake ni mpunga na namna ya uwendeshwaji wake.Mshindi wa kivumbi cup anapata mil 20 ukiachana na hilo, man of the match anapata laki 5, kiungo Bora anapata laki 5, kipa Bora anapata laki 5, kiungo Bora anapata laki 5 na mchambuliaji Bora anapata laki 5 hapo tu unaona utofauti teyali.Lengo la wasafi ukiachana na kukupa platform ya kuonekana live cos haya mashindano yanarushwa live pia unapata fursa ya kuongeza kipato Mfano Kama kijana atakuwa man of the match Mara 4 atapata mil 2 teyali kijana umasikini atakuwa ameuaga Kama atatumia vizuri hiyo hela lakini pia watapatikana vijana wenye vipaji vikubwa kwenye hiyo michuano wasafi watawachukua kuwatafutia team za nje ya nchi ila vijana hao wawe tu na umri chini ya miaka 18.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasafi Media ni Clone ya Clouds FM.

Wanaiga Kila Kitu. Takataka Kabisa
Hata vipindi unavyovisikia Media nyingine ni copy ya vipindi vya media mostly kutoka western sena zimekuwa customized kulingana na mazingira yetu.

Kuiga kizuri na kukiboresha siyo kubaya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasafi jogging C&P ya Efm,super woman C&P ya malikia wa nguvu,sport arena C&P ya sport ya efm ,kivumbi C&P ndondo ya clouds kifupi hawa jamaa creativity hakuna kabisa,upande wa tv [emoji342] ndio usiseme naaamini clouds ndio mchonga barabara wa media za bongo efm kidgo walijitahidi kuja na identity yao
 
Back
Top Bottom