Kivutio gani Tanzania umewahi kutembelea na ungependa kuona kivutio kipi siku zijazo?

Kivutio gani Tanzania umewahi kutembelea na ungependa kuona kivutio kipi siku zijazo?

Jogoo mbegu

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
824
Reaction score
3,449
Tanzania tumebarikiwa vivutio vingi vya asili mfano mbuga za wanyama, fukwe, milima, n.k (warembo 😃)

Binafsi nimeshatembelea Ngorongo, Manyara, Oldipai George, Amboni.

Natamani sana ni pande huu mlima Kilimanjaro siku moja nikaone mandhari ya huko juu ikoje.
vilevile na tamani siku moja ni katulie Zanzibar nikaone mambo ambayo nimeyasoma shuleni na mingine kuyasikia toka mitaani.

Je, kwako kivutio gani umeshawahi kutembelea na ungependa kwenda kivutio kipi kwa siku zijazo?
 
Back
Top Bottom