Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Simba anashinda Jumamosi iwe ndani ya 90 minutes au penalty.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaHii thread utaikimbia mpira ukiishaa hyo jumamosi...... tutaifukua nakuambia.
Mlishajizika na jeneza lenu mliloleta uwanjani, Kilichobaki ni kuwaandalia udongo wa kuwafukia tu
Salamalekoo..... wanathiiiimbaa. Nilikuambia kakaSawa
Koh koh koh.... yaw yaw....Yanga wanajiamani sana kwamba watawafunga simba ila hyo safari hii hakunaaa mtafungwaaa vibaya sana nyie vinye fc
Naona umeamua kunigongea misumari kila comment yangu. Haya bwana nchi yenu hiii kijani n njanoKoh koh koh.... yaw yaw....
Babra atuachie timu yetu [emoji31][emoji31]
Au siyo🤣🤣🤣🤣
😪😪Au siyo🤣🤣🤣🤣