Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
hakuna kitu pale.Kama si ushamba wangu wa kushindwa kutumia technology kama nyie akina dotcom ningeweka hiyo video yake hapa! Kwa kweli kama ukombozi wa mwanamke ndio huu basi ni shida kubwa hii. Bibie anatangaza kwenye clip ya video aliyotuma kwenye whatsapp kuwa amejikomboa kwa kuachika, yuko free. Kisha akatangaza dau kwa wanaotuma requests, wanaomtaka! Ndiyo kiwanda chake eti!
Kama si ushamba wangu wa kushindwa kutumia technology kama nyie akina dotcom ningeweka hiyo video yake hapa! Kwa kweli kama ukombozi wa mwanamke ndio huu basi ni shida kubwa hii. Bibie anatangaza kwenye clip ya video aliyotuma kwenye whatsapp kuwa amejikomboa kwa kuachika, yuko free. Kisha akatangaza dau kwa wanaotuma requests, wanaomtaka! Ndiyo kiwanda chake eti!
Kwa ujumla ametusaidia kuelewa kuwa kumbe huyo mumewe alikuwa anavumilia mengi.Huwezi kuwa na KIDOMODOMO kama huyu dada na ukafanikiwa kuitwa mke wa mtu labda mume awe bwege kwelikweli
Huyo jamaa labda alijipima dhidi ya mume wa awali akajiona kuwa fupa analiweza, kwamba aliyeondoka ni mbwa na yeye ni fisi. Sasa fupa limemshinda hata fisi, ndio basi tena sijui nani ataliweza!Ila Wanaume na sisi tunashida sana.., hv fupa limemshinda Mwenzako ambae ndo lilikuwa chaguo la Ujana wake ww ndo unalikimbilia bila kujuwa kuwa interest za Wanaume zinashabihiana hivyo kama Mwenzako ameutuwa yakupasa ujitafakari Mara 3 tatu kabla ya kwenda kuyavagaa..,
Kwa dau alilotangaza hakuna bongo fleva anayeliweza, labda diamond tu.Ajitaidi tu atapata wabongo fleva wanaopenda wakokoo.
'Makokoo!Ajitaidi tu atapata wabongo fleva wanaopenda wakokoo.
We subiri ndo utashangaa hilo dau nikwaajili ya kujifanya yeye wa ghali, utajasikia anatoka na amorapa ndo utashangaaKwa dau alilotangaza hakuna bongo fleva anayeliweza, labda diamond tu.
Kwa dau alilotangaza hakuna bongo fleva anayeliweza, labda diamond tu.
Hichi kiwanda used tumualike mkulu aje akizindue tu
Kwa dau alilotangaza hakuna bongo fleva anayeliweza, labda diamond tu.
Balaaa
Kiki kutembea na staaIla Wanaume na sisi tunashida sana.., hv fupa limemshinda Mwenzako ambae ndo lilikuwa chaguo la Ujana wake ww ndo unalikimbilia bila kujuwa kuwa interest za Wanaume zinashabihiana hivyo kama Mwenzako ameutuwa yakupasa ujitafakari Mara 3 tatu kabla ya kwenda kuyavagaa..,