Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Wewe ndiye dogo, hujui tulikotoka. Muulize babu yako atakueleza. Muulize hata Babu Bakhresa atakusimulia.
Mla mla leo mla jana kala nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye dogo, hujui tulikotoka. Muulize babu yako atakueleza. Muulize hata Babu Bakhresa atakusimulia.
Mkuu umeshawahi kufika Japan,Japan wanalima sana,katika miji ya Japan kila kona kuna viji-eka unawakuta wanajapan wanalima mpunga na vitu vyengine
"Rice is by far the most important crop in Japan and planted on the best agricultural land. Other crops grown in Japan include soybeans, wheat, barley, and a large variety of fruit and vegetable"....
Hofu yako, umasikini wako. Hivi Marekani inatengeneza silaha na mabomu; wateja wao ni wananchi wake!?Haya sasa, nani atakaenunua wakati wanunuzi wenyewe hawana hata pesa ya kununulia unga.
Unalinganisha vp ardhi na mbingu mjombaa.Hofu yako, umasikini wako. Hivi Marekani inatengeneza silaha na mabomu; wateja wao ni wananchi wake!?
Mkuu, hebu acha basi ubishi wa kijinga usiokua na TIJA; kwani Wakenya hawanunui magari kutoka huko yanakotengenezwaga? Hili jambo mbona kama linakuuma hivi; Umekomaa na Kilimo, hivi unajua kama Carrot zinazo uzwa miji kama MWanza na Mara zinatokea Kenya!? Tanzania kwasasa ki vision inatakiwa kua ya viwanda, so what you mean kwakua hatuna chakula cha kutosha basi tuachane na masuala ya viwanda!? Acha basi mawazo ya kimasikini hayo mkuu.Unalinganisha vp ardhi na mbingu mjombaa.
Marekani alipata uhuru karibu miaka 250 ilopita wakati Kenya takriban miaka 50 yaani hawako kabisaa ktk kitabu kimoja.
Ajabu hii
Kwa sasa halitachomwa!Likikatiza mpaka kuingia Tanzania linachomwa moto kama vifaranga
"Toyota", "Suzuki", "Honda" ni baadhi tu ya mashamba yao maarufu!Japan wanalima chakula gani kweli!?